Ni kulewa kidogo na kushushia nyama.Hivi nia ya kunywa ni kulewa au kufurahia kinywaji?
Jaribu siku moja uje utupe ushuhuda.Kutoka hali ya kufurahia kinywaji mpaka kuwa kero ni nini kinachojiri apo kati..Utakunywaje bia hadi iwe kero?
Hapo sawa.Ni dhahiri wewe si mnywaji.Usijiingize katika starehe ya unywaji.Sinywi bia. Naona kama ni mataputapu fulani hivi.
Nakunywa mvinyo tu. Ndo kulevi changu.
Vyote vyoteHivi nia ya kunywa ni kulewa au kufurahia kinywaji?
Jiheshimu wewe. Mi silewi hata na tequila. Nalewa na azam tropicalWanaokunywa safari ni waliofulia ili wawahi kulewa.
Kweli mzazi.Michango yenyewe ya siku hizi unaambiwa single ni shillingi laki moja.Lazima tufidie michango tuliyochanga..
Weka pichaIko ndio kinywaji changu,pale Heinken house tunazungusha hadi karai 5
Usifikiri watu wote ni wachafu na washamba,balimi ndio uchafu gani?mwanaume unajisifu kunywa mataputapu?acha upuuzi.hao ndio wanaume was dar wanakunywa Heineken, Windhoek na c lite...alafu wanazima daaah!! ukiwapa balimi je??