Kuna watu wanaleta utamaduni wa ovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia

Kuna watu wanaleta utamaduni wa ovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
GZHmr2XXgAAO6YP.jpeg

Kuna dharau ila hii inavuka mpaka!!

Kuna watu wanaleta utamaduni wa hovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia ya midomo.

Hata waliotuaminisha hayo kwenye nchi zao sijawahi kuona kiongozi anatukanwa kiasi hiki.

Marekani hii kitu haipo( wanakosoa kwa staha si matusi kwa kiongozi). Je, tunafundisha nini kizazi kinachokulia mtandaoni? Kwamba kukosoa ni kutukana.

Mpaka sasa naanza kusikia chuki za kidini na kikanda kutoka kwenye vinywa vya viongozi tulioona wana akili.

Basi tu, mna kiongozi mpole na anayejua kupuuzia mambo ila nitakubali kukosolewa ila si kudhalilishwa wala kutukanwa.
 
Kuna dharau ila hii inavuka mpaka!!

Kuna watu wanaleta utamaduni wa hovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia ya midomo.

Hata waliotuaminisha hayo kwenye nchi zao sijawahi kuona kiongozi anatukanwa kiasi hiki.

Marekani hii kitu haipo. Je, tunafundisha nini kizazi kinachokulia mtandaoni? Kwamba kukosoa ni kutukana.

Basi tu, mna kiongozi mpole na anayejua kupuuzia mambo ila nitakubali kukosolewa ila si kudhalilishwa wala kutukanwa.View attachment 3116625
Ni Upumbavu na Ujinga uliopitiliza aise.
 
Kibaya ni kuwatukana matusi ya nguoni! Kuwatukana kwa mengine na kuwadharau ni mambo ya kawaida!
 
Upo sahihi Ila Kama MTU unataka usitukanwe mitandaoni na sehemu mbalimbali unabidi ukae mbali na siasa.
 
Kuna dharau ila hii inavuka mpaka!!

Kuna watu wanaleta utamaduni wa hovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia ya midomo.

Hata waliotuaminisha hayo kwenye nchi zao sijawahi kuona kiongozi anatukanwa kiasi hiki.

Marekani hii kitu haipo. Je, tunafundisha nini kizazi kinachokulia mtandaoni? Kwamba kukosoa ni kutukana.

Basi tu, mna kiongozi mpole na anayejua kupuuzia mambo ila nitakubali kukosolewa ila si kudhalilishwa wala kutukanwa.View attachment 3116625
Mkuu viongozi unaowatetea ni hawa hawa wanaoingia madarakani kwa kutukana uchaguzi? Kuingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi ni zaidi ya hayo matusi yanayokuliza. Tunapotaka chaguzi za haki, ni pamoja na viongozi watakaopatikana kwa haki wawe na uhalali wa kudai kuheshimiwa.
 
Kuna dharau ila hii inavuka mpaka!!

Kuna watu wanaleta utamaduni wa hovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia ya midomo.

Hata waliotuaminisha hayo kwenye nchi zao sijawahi kuona kiongozi anatukanwa kiasi hiki.

Marekani hii kitu haipo. Je, tunafundisha nini kizazi kinachokulia mtandaoni? Kwamba kukosoa ni kutukana.

Basi tu, mna kiongozi mpole na anayejua kupuuzia mambo ila nitakubali kukosolewa ila si kudhalilishwa wala kutukanwa.View attachment 3116625
Nani ametukanwa na nani?
 
Kuna dharau ila hii inavuka mpaka!!

Kuna watu wanaleta utamaduni wa hovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia ya midomo.

Hata waliotuaminisha hayo kwenye nchi zao sijawahi kuona kiongozi anatukanwa kiasi hiki.

Marekani hii kitu haipo. Je, tunafundisha nini kizazi kinachokulia mtandaoni? Kwamba kukosoa ni kutukana.

Basi tu, mna kiongozi mpole na anayejua kupuuzia mambo ila nitakubali kukosolewa ila si kudhalilishwa wala kutukanwa. Hii ni dharau kwa jeshi View attachment 3116625
Kuna mtu hapo...kavaa bikini ya mamilioni (2mil) kutoka dubai sikumbiki jina la hizo bikini ila zinauzwa kwa familia za kifalme...huku nje kavaa kombati za buku 2 hiyo ni dharau kwa jeshi letu.
 
Ila ukumbuke kama kiongozi ukiwa hauna majibu ya kutosheleza kwa matatzo ya wananchi lazima chuki ijitengeneze miongoni mwao na mwisho wa siku ndio unaona viongozi wnatukanwa. Watu wamejawa na vinyongo na visasi kwenye nyoyo zao .
 
Kuna dharau ila hii inavuka mpaka!!

Kuna watu wanaleta utamaduni wa hovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia ya midomo.

Hata waliotuaminisha hayo kwenye nchi zao sijawahi kuona kiongozi anatukanwa kiasi hiki.

Marekani hii kitu haipo. Je, tunafundisha nini kizazi kinachokulia mtandaoni? Kwamba kukosoa ni kutukana.

Basi tu, mna kiongozi mpole na anayejua kupuuzia mambo ila nitakubali kukosolewa ila si kudhalilishwa wala kutukanwa.View attachment 3116625
Matendo ya viongozi ni matusi tosha kwa wananchi au hilo hauoni? Heshima ni two way traffic
 
Kuna dharau ila hii inavuka mpaka!!

Kuna watu wanaleta utamaduni wa hovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia ya midomo.

Hata waliotuaminisha hayo kwenye nchi zao sijawahi kuona kiongozi anatukanwa kiasi hiki.

Marekani hii kitu haipo. Je, tunafundisha nini kizazi kinachokulia mtandaoni? Kwamba kukosoa ni kutukana.

Basi tu, mna kiongozi mpole na anayejua kupuuzia mambo ila nitakubali kukosolewa ila si kudhalilishwa wala kutukanwa.View attachment 3116625

Tofautisha kukosolewa na kutukanwa. Pia kukosoa na kutukana.
 
Ni kweli kabisa lakini kama tunakua na viongozi wanaobagua watu wazi wazi tunategemea reaction gani toka kwa watu hawa? Heshima ni swala la kikatiba kabisa kila mtu anastahili kuheshimiwa sio viongozi nao wako na wajibu wakuheshimu wengine kifupi kama Taifa tunapaswa kuheshimiana sio wengine kukejeli wenzao ruksa wakirudisha tunasema watu hawana heshima hii haiko sawa na niubaguzi mbaya
 
Bado hawajatukanwa vizuri ni vile hii nchi freedom after speech its not guaranteed, vinginevyo wangeelewa mbona
 
Back
Top Bottom