Kwa taarifa yako kunaNi yeye huyo huyo raisi2020
Nilikuwa nimesahau I'd yake
Kuwa na adabu mkuu.Kumbe zipo mbilii basi sijuagiii
Huyu kaweka avatar tuI'd = ID
Huyu ni nani kwani? Kwani ukilitaja hilo jina unakiuka shHebu nijaribu namie
Juma Pombe Maharage
Hivi hiyo post yangu uliyokot imefutwa au macho yangu eti?Huyu ni nani kwani? Kwani ukilitaja hilo jina unakiuka sh
Sheria ipi ?
Imefutwa. Hahahaha. Chezea Juma weweHivi hiyo post yangu uliyokot imefutwa au macho yangu eti?
Ha haa hapana chezea kwakweli...Imefutwa. Hahahaha. Chezea Juma wewe
Acha kutumia miraa kijana taifa bado linakuhitaji sawasawa!!Nlipigwa ban toka mwaka juzi, sijui ntaachiwa lini..!!
Naona unataka BAN kwa nguvu. Kazi kwakoHa haa hapana chezea kwakweli...
Juma Ponda Mali ni habari nyingine
Sujawahi kutumia...Acha kutumia miraa kijana taifa bado linakuhitaji sawasawa!!
Nitukane tu utaipataOyaaa!!!? Miye mgeni kwani ban ndiyo nini?.