Kuna watu wanapenda kumkamata Mdude kwa sababu wanalipwa na serikali perdiem zakuzunguka naye; zikiingia kwenye akaunti tu wanamwachia

Kuna watu wanapenda kumkamata Mdude kwa sababu wanalipwa na serikali perdiem zakuzunguka naye; zikiingia kwenye akaunti tu wanamwachia

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mdude na wenzake wanaishi Mbeya; wamekaa Mbeya toka hukumu ya DP world ilipotolewa na wakatoa na matamko yao hakuna aliyewakamata.

Mara paap wamepanga safari waje zao kula bata mjini wanakamatwa usiku wa manane Mikumi; kisha utasikia wamepelekwa makao makao makuu Dodoma mara wamepelekwa Mbeya. Huku kote wapo watu wamejiwekea hivi kama justification ya posho

Wakimaliza kulipwa naamini wataachiwa; sina namna nyingine ya kueleza hiki kinachotokea kama siyo watu kutafuta posho.

MDUDE kichwa imepinda ile unamhoji nini? Huyu ni mwanasiasa, wakili aliyepeleka kesi mahakama pia ni mwanasiasa. Anazungumza hoja za kisiasa then kwanini utumie mafuta na posho kuangaika nao?

Kwa mfano wangepewa wito pale Mbeya waripoti polisi wasingeripoti? Mnaopanga haya mambo mnamfanya Mhe. Rais aonekane kama anawanyanyasa hawa watu bure.....kweli mtu wakumwandikia barua au kumpigia simu afike ofisini una haja ya kumvuzia usiku wa manane?

Mnapat raha gani kila siku vyombo vya kimataifa kusema wanasiasa wa upinzani mara wanasheria wakamatwa? Katika mazingira haya mnadhani wawekezaji serious watakuja nchini? Mnadhani wakija watakubali fedha zao zibaki ndani ya nchi au watakuwa wanahamisha fedha kila siku? Wakihamisha fedha na kupunguza kuwekeza ndani dola ntapata wapi?

Let us invest kwenye economic intelligence; tuache kuwaza uchaguzi kila saa. Tufanye shughuli za uchumi kusubiri 2025
 
Mnapat raha gani kila siku vyombo vya kimataifa kusema wanasiasa wa upinzani mara wanasheria wakamatwa? Katika mazingira haya mnadhani wawekezaji serious watakuja nchini? Mnadhani wakija watakubali fedha zao zibaki ndani ya nchi au watakuwa wanahamisha fedha kila siku? Wakihamisha fedha na kupunguza kuwekeza ndani dola ntapata wapi?
Kweli
 
Mdude na wenzake wanaishi Mbeya; wamekaa Mbeya toka hukumu ya DP world ilipotolewa na wakatoa na matamko yao hakuna aliyewakamata.

Mara paap wamepanga safari waje zao kula bata mjini wanakamatwa usiku wa manane Mikumi; kisha utasikia wamepelekwa makao makao makuu Dodoma mara wamepelekwa Mbeya. Huku kote wapo watu wamejiwekea hivi kama justification ya posho

Wakimaliza kulipwa naamini wataachiwa; sina namna nyingine ya kueleza hiki kinachotokea kama siyo watu kutafuta posho.

MDUDE kichwa imepinda ile unamhoji nini? Huyu ni mwanasiasa, wakili aliyepeleka kesi mahakama pia ni mwanasiasa. Anazungumza hoja za kisiasa then kwanini utumie mafuta na posho kuangaika nao?

Kwa mfano wangepewa wito pale Mbeya waripoti polisi wasingeripoti? Mnaopanga haya mambo mnamfanya Mhe. Rais aonekane kama anawanyanyasa hawa watu bure.....kweli mtu wakumwandikia barua au kumpigia simu afike ofisini una haja ya kumvuzia usiku wa manane?

Mnapat raha gani kila siku vyombo vya kimataifa kusema wanasiasa wa upinzani mara wanasheria wakamatwa? Katika mazingira haya mnadhani wawekezaji serious watakuja nchini? Mnadhani wakija watakubali fedha zao zibaki ndani ya nchi au watakuwa wanahamisha fedha kila siku? Wakihamisha fedha na kupunguza kuwekeza ndani dola ntapata wapi?

Let us invest kwenye economic intelligence; tuache kuwaza uchaguzi kila saa. Tufanye shughuli za uchumi kusubiri 2025
Serikali imekuwa juu ya sheria na adui namba moja wa serikali ni raia sisi
 
Mdude na wenzake wanaishi Mbeya; wamekaa Mbeya toka hukumu ya DP world ilipotolewa na wakatoa na matamko yao hakuna aliyewakamata.

Mara paap wamepanga safari waje zao kula bata mjini wanakamatwa usiku wa manane Mikumi; kisha utasikia wamepelekwa makao makao makuu Dodoma mara wamepelekwa Mbeya. Huku kote wapo watu wamejiwekea hivi kama justification ya posho

Wakimaliza kulipwa naamini wataachiwa; sina namna nyingine ya kueleza hiki kinachotokea kama siyo watu kutafuta posho.

MDUDE kichwa imepinda ile unamhoji nini? Huyu ni mwanasiasa, wakili aliyepeleka kesi mahakama pia ni mwanasiasa. Anazungumza hoja za kisiasa then kwanini utumie mafuta na posho kuangaika nao?

Kwa mfano wangepewa wito pale Mbeya waripoti polisi wasingeripoti? Mnaopanga haya mambo mnamfanya Mhe. Rais aonekane kama anawanyanyasa hawa watu bure.....kweli mtu wakumwandikia barua au kumpigia simu afike ofisini una haja ya kumvuzia usiku wa manane?

Mnapat raha gani kila siku vyombo vya kimataifa kusema wanasiasa wa upinzani mara wanasheria wakamatwa? Katika mazingira haya mnadhani wawekezaji serious watakuja nchini? Mnadhani wakija watakubali fedha zao zibaki ndani ya nchi au watakuwa wanahamisha fedha kila siku? Wakihamisha fedha na kupunguza kuwekeza ndani dola ntapata wapi?

Let us invest kwenye economic intelligence; tuache kuwaza uchaguzi kila saa. Tufanye shughuli za uchumi kusubiri 2025
Polisi nahis huwa hawajiamin.., wasipofanya hivyo wanaona ugali utamwagwa na Bwanamkubwa mteule wao.
 
Bongo Dili upigaji hauwezi kwisha.
Eti waliandaa mabango wakayaweka nchi nzima kumpongeza mtu anaetimiza wajibu wake
 
Back
Top Bottom