Sajili mbovu ambazo sio mapendekezo ya Kocha, Mf. Yule golikipa ambaye yupo
mapinduzi ambaye kocha Zahera alimkataa. Si ajabu kukuta kasajiliwa kwa mamilioni
ya kwenye makaratasi huku ukweli akiwa kachukuliwa bure au pesa ya fungu la
mchicha.
Haya mambo hayakuanza jana wala juzi ni toka wakati wa Madega, zilifanywa sajili
mbovumbovu ajabu, Mfano ile ya aliyedaiwa kuwa mfungaji bora wa cameroon
Jama Robert MBA.
Hivi hawa watu jamii ya kina NYIKA wanajivunia nini? Kwani hawaiharibu yanga tu
wanaharibu soka la Tanzania kwa ujumla.