Kuna watu washaridhika kuishi kwa grants

Kuna watu washaridhika kuishi kwa grants

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Hii energy wanayoitumia kumchukia Zitto wangekua wanaitumia kujenga Chama na ushawishi wangekua mbali. Toka 2014 mlishasema jamaa ni msaliti, Okay we've understood you well, move on sasa.

Kama vigezo na masharti vya nyinyi kuishi ughaibuni ni kuchochea kuni tu huku hapo mna kila sababu ya kuchukia alichoongea Zitto. Other than that hio chuki yenu imezidi. CDM sasa jitahidini kuangalia nini mnataka kama ni nchi jipangeni kwa uongozi mpya, ukimuondoa Mbowe tu the rest ya uongozi mzima wapo kimaslahi either kwa kuchagua au by default. Mbowe kuendelea kuwepo ndani kwao ni mtaji. Ila nchi za Magharibi hazitawasaidia lolote na wala hawataacha kutoa msaada Tanzania eti kwa sababu Mbowe yupo ndani.

Again, Mabeberu hawajali kuhusu demokrasia barani Africa au sehemu yoyote wanachojali ni maslahi yao tu. Wataingilia nchi kwa kigezo cha demokrasia endapo utacheza na maslahi yao tu, mfano hai ni Rwanda hapo. Wake up CDM na muache hizi cheap politics.​
 
Muulize huyo aliyeleta ishu ya 7K katika hii mada.
Ndo Mimi nimesema.mimi najua Samia kagoma kutoa bajeti ya BUKU seven seven.ndo maana hamumpendi.mnaona Bora angekuwepo magufuli
 
Kwakua vichwa vyao vimejaa matope hawatakuelewa Bali tegemea matusi kwa Sana.Wana akili fupi kweli
 
Ndo Mimi nimesema.mimi najua Samia kagoma kutoa bajeti ya BUKU seven seven.ndo maana hamumpendi.mnaona Bora angekuwepo magufuli
Your name says it all
 
Kwakua vichwa vyao vimejaa matope hawatakuelewa Bali tegemea matusi kwa Sana.Wana akili fupi kweli
Acha tu Mbowe awe M/kiti wa milele the rest ni Utopolo tu
 
Huo ushauri ungempa Raisi Samia, hakuna Raisi pro Mzungu na foreigners kama huyu na Kikwete, mpaka anachoma biashara na mitaji ya Watanzania masikini kufurahisha foreigners, chuki na laana tupu huu Uongozi.
 
chadema ndo chama pekee kilichokataa kufanywa watumwa na watawala ndani ya nchi yao, hiyo janja janja ya kumtumia kibaraka wenu kubadili upepo wa kisiasa imeshabuma kabla haijafanikiwa, mtake msitake mtamuachia mbowe.
 
Ndo Mimi nimesema.mimi najua Samia kagoma kutoa bajeti ya BUKU seven seven.ndo maana hamumpendi.mnaona Bora angekuwepo magufuli
Sasa kama unjua kagoma kisha ukaleta mada hiyo huoni kama wewe ni zuzu?
 
Hii energy wanayoitumia kumchukia Zitto wangekua wanaitumia kujenga Chama na ushawishi wangekua mbali. Toka 2014 mlishasema jamaa ni msaliti, Okay we've understood you well, move on sasa.

Kama vigezo na masharti vya nyinyi kuishi ughaibuni ni kuchochea kuni tu huku hapo mna kila sababu ya kuchukia alichoongea Zitto. Other than that hio chuki yenu imezidi. CDM sasa jitahidini kuangalia nini mnataka kama ni nchi jipangeni kwa uongozi mpya, ukimuondoa Mbowe tu the rest ya uongozi mzima wapo kimaslahi either kwa kuchagua au by default. Mbowe kuendelea kuwepo ndani kwao ni mtaji. Ila nchi za Magharibi hazitawasaidia lolote na wala hawataacha kutoa msaada Tanzania eti kwa sababu Mbowe yupo ndani.

Again, Mabeberu hawajali kuhusu demokrasia barani Africa au sehemu yoyote wanachojali ni maslahi yao tu. Wataingilia nchi kwa kigezo cha demokrasia endapo utacheza na maslahi yao tu, mfano hai ni Rwanda hapo. Wake up CDM na muache hizi cheap politics.​
Tangu lini Chadema imekuomba kuwa mshauri wake? Au ipo KWa hisani ya watu USA,

chadema haitaji hisani na watu wa hisani, kawashauri CCM chama kimekufa na kuludi KWa wenyewe upo na ushauri hutoi, ya Chadema ndo waona yanakugusa Sana

Chadema hatupangiwi Cha kufanya, tuna taratibu zetu za kushughulika na matatizo yetu wanayotusababishia CCM na serikali yake,
 
Tangu lini Chadema imekuomba kuwa mshauri wake? Au ipo KWa hisani ya watu USA,

chadema haitaji hisani na watu wa hisani, kawashauri CCM chama kimekufa na kuludi KWa wenyewe upo na ushauri hutoi, ya Chadema ndo waona yanakugusa Sana

Chadema hatupangiwi Cha kufanya, tuna taratibu zetu za kushughulika na matatizo yetu wanayotusababishia CCM na serikali yake,
Yote kheri.... Tatizo mtu akikosoa Chadema anakua branded kua ni CCM.
 
Hii energy wanayoitumia kumchukia Zitto wangekua wanaitumia kujenga Chama na ushawishi wangekua mbali. Toka 2014 mlishasema jamaa ni msaliti, Okay we've understood you well, move on sasa.

Kama vigezo na masharti vya nyinyi kuishi ughaibuni ni kuchochea kuni tu huku hapo mna kila sababu ya kuchukia alichoongea Zitto. Other than that hio chuki yenu imezidi. CDM sasa jitahidini kuangalia nini mnataka kama ni nchi jipangeni kwa uongozi mpya, ukimuondoa Mbowe tu the rest ya uongozi mzima wapo kimaslahi either kwa kuchagua au by default. Mbowe kuendelea kuwepo ndani kwao ni mtaji. Ila nchi za Magharibi hazitawasaidia lolote na wala hawataacha kutoa msaada Tanzania eti kwa sababu Mbowe yupo ndani.

Again, Mabeberu hawajali kuhusu demokrasia barani Africa au sehemu yoyote wanachojali ni maslahi yao tu. Wataingilia nchi kwa kigezo cha demokrasia endapo utacheza na maslahi yao tu, mfano hai ni Rwanda hapo. Wake up CDM na muache hizi cheap politics.​
in fact uko sahihi wazungu wanaangalia maslahi tu lkn Rwanda kuna nn?mbona hawana resources zozote?bora ungetolea mfano nchi nyingine.
 
Hii energy wanayoitumia kumchukia Zitto wangekua wanaitumia kujenga Chama na ushawishi wangekua mbali. Toka 2014 mlishasema jamaa ni msaliti, Okay we've understood you well, move on sasa.

Kama vigezo na masharti vya nyinyi kuishi ughaibuni ni kuchochea kuni tu huku hapo mna kila sababu ya kuchukia alichoongea Zitto. Other than that hio chuki yenu imezidi. CDM sasa jitahidini kuangalia nini mnataka kama ni nchi jipangeni kwa uongozi mpya, ukimuondoa Mbowe tu the rest ya uongozi mzima wapo kimaslahi either kwa kuchagua au by default. Mbowe kuendelea kuwepo ndani kwao ni mtaji. Ila nchi za Magharibi hazitawasaidia lolote na wala hawataacha kutoa msaada Tanzania eti kwa sababu Mbowe yupo ndani.

Again, Mabeberu hawajali kuhusu demokrasia barani Africa au sehemu yoyote wanachojali ni maslahi yao tu. Wataingilia nchi kwa kigezo cha demokrasia endapo utacheza na maslahi yao tu, mfano hai ni Rwanda hapo. Wake up CDM na muache hizi cheap politics.​
Yaani mimi ningekuwa Samia nisingelegeza masharti ,hao bila Spina hawaendi kwa sababu ni wajinga.

Kuna Nchi nyingi zinaenda kwa kuwapa kichapo
 
Back
Top Bottom