Kama heading inavyojieleza hapo juu,
Wakuu kuna watu hapa JF wana bahati mbaya sana kama vile wanalala na bundi, yaani hata alete uzi wenye mashiko kiasi gani lakini atabezwa tu na wala hatopata wachangiaji.
Lakini kitu hichocho kikiandikwa na member mwingine aiseee! Uzi utajaa comment balaa!