Kuna wazo linanijia, Kenya kutamka itawafukuza Watanzania waishio Kenya ilikuwa ni mbinu ya kimichezo ili watufunge.

Kuna wazo linanijia, Kenya kutamka itawafukuza Watanzania waishio Kenya ilikuwa ni mbinu ya kimichezo ili watufunge.

kufanakupona

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2015
Posts
522
Reaction score
421
Muda utasema, kama ni kweli walikuwa na mbinu hii, hatutasikia wakilijadili hili suala, kama wakilijadili, watalijadili juu kwa juu ili tusiwajue kama ilikuwa ni mbinu.
Na kama mawazo yangu yameenda mrama, uzi utakuwa ni uleule.
Kama ni kweli ilikuwa ni mbinu ya kutudhoofisha saikolojia ya mchezo, nitashangaa sana kwanini hakuna Mtanzania hata mmoja aliyeigundua janja yao.
 
Hakuna uhusiano hapo. Tukubali mipango yetu katika mchezo huu labda na hata mingine ni mibaya, ipo kizima moto zaidi. Sasa badala ya kulalamika tuanze kuchangia nini kifanyike.
 
Hakuna uhusiano hapo. Tukubali mipango yetu katika mchezo huu labda na hata mingine ni mibaya, ipo kizima moto zaidi. Sasa badala ya kulalamika tuanze kuchangia nini kifanyike.
Iweje watoe hilo tamko baada ya mechi kati yetu na wao ilipoanza kukaribia?, huoni kama kuna kitu hapo?.
Wenzetu Wakenya ni middle economy wana akili na mbinu za first world countries, kwanini wasiweze kutumia mbinu hiyo?, 'siye' Watanzania ni lower economy nation na mbinu zetu ni za kijima za third world countries, hatuwezi gundua mbinu za first world countries, za kwetu ni kusemana wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom