Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.

Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.

Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.

Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.

Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.
 
Tuwaombee vijana kwani hao ni ndugu zetu jamani kuliko kuleta ushindani na kama kuna mtu ana wafahamu hao watekaji awajulishe haraka police!

Eee Mwenye Enzi Mungu wewe ni mwaminifu sana kwa nchi yetu Tanzania [emoji1241], kumbuka mema yote tuliyotenda kwa Africa![emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Kule kwenye ukristo huwezi kuburuza watu wenye akili timamu wakakuamini. Ni kwenye uislam tu ndiko kiongozi anaweza kuwashika watu akili na wakafanya atakavyo...
umesahau KIBWETERE wa uganda alivodanganya waumini wake kwamba mwisho wa dunia uafika? Umemsahau nabii SHIKAa ZAMARADI je? Aliyekuwa akijiita mungu? weee jamaaaa wewe!!
 
Wahubiriwe habari njema za ukombozi kupitia Yesu kristo,mimi naamini usilamu hasa huku afrika unaharibiwa na viongozi wao wasio na elimu wala exposure,na wengi wanafanya upotoshaji huo ili waungwe mkono na jamii yao ambayo wanajua niya watu wajinga,masikini wa kipato na elimu ambao ni wepesi kurubunika.
 
Inawezekana waislamu ni wajinga ila hawajafikia kiwango cha wale waunga ushoga wale hata wakiambiwa leo hamna mtu kuingia bila kushikwa tako anakubali wanakubali maji ya uhai wanagombania wanaambiwa ni maji ya uzima mfalme zumaridi aliwafanya misekule kibwetele aliwapiga moto pale kawe watu wanakesha hakika kwa ujanja huu bora ni baki na ujinga wangu wa kiislamu.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Kule kwenye ukristo huwezi kuburuza watu wenye akili timamu wakakuamini. Ni kwenye uislam tu ndiko kiongozi anaweza kuwashika watu akili na wakafanya atakavyo...
Kila sehemu kuna utapeli ishu tu ni kwamba unatapeli mtu wa namna gani..........upande mmoja shida watu ni elimu na uelewa wa mambo ya kidunia.

Upande wapili watu wamepewa elimu japo ina ukakasi ila sio kama upande ambao kiwango ni kidogo kabisa,, hapo kila mchunga kondoo ana namna ya kuwaingiza kingi watu wake
 
Kule kwenye ukristo huwezi kuburuza watu wenye akili timamu wakakuamini. Ni kwenye uislam tu ndiko kiongozi anaweza kuwashika watu akili na wakafanya atakavyo...
Mchungaji Joseph Kibwetere wa Uganda akiona hii comment yako atacheka sana, sa hizi anajiuliza hawa wakristo wenye akili timamu wamezaliwa lini[emoji3]
 
Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.

Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu...
Dah mafarisayo mnateseka sanaaa na Waislamu.

Mbona sisi hatuna habari na dini yenu ya mchongo

Thread ya pili leo hii nakutana nayo kuhusu Uislamu
 
Kule kwenye ukristo huwezi kuburuza watu wenye akili timamu wakakuamini. Ni kwenye uislam tu ndiko kiongozi anaweza kuwashika watu akili na wakafanya atakavyo
Hhhhhhhhhhh pole sanaa untka mburuzwe mara ngapi?

Wakati mnatajirisha mapadri na nyie mkibaki hohehahe

Yni ukristo we ukiamua kusema lko we sema tuu na utakubalika

Tizama hawa wajinga wanavoaminishwa ujinga na kuburuzwa prrrrrrrrrrrrr
 
Hakuna kijana wa kiislamu anaweza kushikiwa akili kwani muongozo yetu ni Qur an .. Migogoro mingi ni upumbavu wa watu kadhaaa Haina uhusiano na dini.

Wakristo ndo wapumbavu kwamba kushikiwa akili juzi hapa tu na kibwetele walichomwa, then Kuna yesu wa Kenya kashaanza kupata wafuasi, Bado Kuna mnyakyusa anaitwa mtume tayar.

Wakristo ni rahisi kuwashikia akili kwa sababu wanafuata wazungu na sio dini na wala yesu hawamjui..Leo wanalishwa majani kanisani eti wokozi, leo Wana madhehebu zaidi ya mia na wanachukiana eti wa huko haweza kusali huko na vicer versal.

Kwa ulichoandika ni porojo historia za vita zipo za aina tofauti zilizoandikwa kweny syllabus ya kusoma shule then Kuna uhalisia ni mambo yanayo kinzana.
 
Idiots at their best


1676547408995.jpg
Screenshot_20230216-143628.png
Screenshot_20230216-143557.png
 
Back
Top Bottom