Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Mkuu naomba unieleweshe kidogo sijakuelewa,, hivi wakristo hao unaowasifia wameelimika ndio hawa waliombiwa na papa mwanaume kufihlwah sio dhambi au unawazungumzia hawa waliokufa kwa kukanyagana kisa kugombea mafuta kwa mwamposa,,?πŸ€”
Kwa Mwamposa mbona Waislam pia walikufa. Wakristo wa Papa ni wale waliokengeuka nae. Mimi mkristo mfuasi wa Yesu sio akina Papa wala hao manabii uchwara, sio wote, wapo wa kweli.
Kilichotokea kwa Mwamposa ni ajali ambayo wamerekebisha isijirudie.
Ni kama huko nyuma Nguruwe walitoka zizini kwa jamaa wakaingia msikitini, hilo timbwili lake mlango wa kutokea mmoja, ni ajali.
Kwa ujumla wapo waislam na wskristo walioelimika. Wote viumbe wa Mungu.
 
Hakuna muislam aliefika kwa mwamposa nabii wa kinyakyusa,, wale unawaona wanaojiita majina ya kiislam yale ni maigizo tu ili apate vichwa vingi na watu wamuamini kama wewe apa ulivyomuamini,, na hiyo mifano sijui ya nguruwe ilitoka zizini hayo ndo unavyoambiwa hivyo kanisani na mchungaji wako wa kinyakyusa!! Kuhusu suala la papa kusema kufihlwah sio dhambi ni kweli kasema sasa kama wewe bishana na papa sio mimi
 
Haya sawa. Tulale kesho kazi. Unabisha wakati wenye macho wanaona. Njia ya mwongo ni fupi, kitaeleweka tu
 
Haya sawa. Tulale kesho kazi. Unabisha wakati wenye macho wanaona. Njia ya mwongo ni fupi, kitaeleweka tu
Kweli kabisa mkuu njia ya muongo ni fupi na ndio maana mwamposa kama kweli yeye anaponya wagonjwa na viwete basi kwanza angeenda muhimbili
 
Kweli kabisa mkuu njia ya muongo ni fupi na ndio maana mwamposa kama kweli yeye anaponya wagonjwa na viwete basi kwanza angeenda muhimbili
Utaratibu haupo hivyo, hata Yesu aliponya wagonjwa na kufufua wafu, lakini hakwenda mahosptitalini. Hilo ni somo kubwa nisiingie huko kuelewesha.
Nakushauri Mfwatilie Mwamposa umkamate na kidhibiti chako live wewe uturetee mrejesho
 
Utaratibu haupo hivyo, hata Yesu aliponya wagonjwa na kufufua wafu, lakini hakwenda mahosptitalini. Hilo ni somo kubwa nisiingie huko kuelewesha.
Nakushauri Mfwatilie Mwamposa umkamate na kidhibiti chako live wewe uturetee mrejesho
πŸ˜…πŸ˜ƒ mkuu kweli umenichoka mimi nimfuatilie yule mnyakyusa muuza chupi za upako ukivaa zinatoa ugumba na kofia za upako ukivaa kama huna akili eti utakuwa na akili,, yule mnyakyusa tapeli tu kama mimi,, ila tofauti mimi natapeli uswahilini ye mwenzangu anatapeli kanisani
 
Utaratibu haupo hivyo, hata Yesu aliponya wagonjwa na kufufua wafu, lakini hakwenda mahosptitalini. Hilo ni somo kubwa nisiingie
Lakini pia utaratibu haupo hivyo kama anavyofanya fanya mwamposa,, yesu hakuuza vitambaa vya upako, mafuta, chupi za upako etc...
 
Dini ya hovyo hiyo wana maCD yao kibao wamerecord wanaongea utumbo tu
 
Ulishawahi kuona Vijana wa kiisilamu wanaacha kufanya kazi na kusubiri wakanyage mafuta ili wawe matajiri?Kudanganywa ni udhaifu wa muhusika mwenyewe na siyo Elimu,Huoni Gwajima alivyowaambia watu atawapeleka marekani na wewe mwana CCM si ulikubali
 
Weeeeeeeeeee ishia hapo hapo wala usishuhudie uongo, rafiki yangu bestie mvaa shungi la kutosha anafunga jumatatu na alhamis ijumaa msikitini. jumapili kwa mwamposa na usiku saa nane anaamka kufanya maombi ya mwamposa aliyofundishwa na kumsikiliza kwenye redio km dawa. Anatumia maji na mafuta vibaya mno. Mm mkristo sijawahi kanyaga pale ila yeye sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na anamshuhudia kwa watu vibayaaa na sa hv anawaletea majirani zake na ndgu zake maji na mafuta kila wiki. So wapo wengi tuuuuu. Na waislam wengi wanatumia bidhaa zake kwa siri km kwKo hazijafika zisubirie zaja[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachoniuma zaidi DINI Yao imeasisiwa na Roman Catholic.

JESUIT+VATCAN + SHETANI NA MAJINI+ MOHAMED.

Tukiwaambia hawaelewi
Quran Imeandikwa VATCAN
Wewe Utakuwa umebebeshwa ujauzito na Mkatoliki halafu Kwasababu ya tabia yako chafu na mbaya akakuterekeza, Maana Kwenye Comment zako nyingi huachi kutaja RC,lkn pole kwa yaliyokukuta.Chuki dhidi ya RC hazitakusaidia wala kukupeleka popote.Wewe huna tofauti na Vijana wa Kiislamu walioaminishwa kuwa Ukristo ni mbaya wakajenga chuki dhidi yake.
 
Sasa Mbona vijana wengi wa Kiislamu wanashikwa masikio na baadhi ya Viongozi wa Kiislamu?
 
Usichokijua tu yesu nae ni mvaa makobazi na kanzu,,
Uo ni utamaduni wa wayahudi wa kale na nyie mukaja kuiga..tatizo nyie watu wa Mwinyaaz munaona dini yenu kama lulu vile wakati mumeleta tafrani duniani..kwa mfano kulazimisha watu kuamini uislam uo ni upumbavu. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa mvaa kobaaz na kupita mbele ya watu kupiga takbiiirr au kuvaa mabomu na kwenda kujitoa muhanga eti kumpigania Allah πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Halafu baada ya apo kuna mabikra 72 uko akhera madukani 🀣🀣🀣 amuoni kama mumechanganyikiwa nyie watu?
 
Programed minds! Ni tatizo kwa Africa [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Izo zote ni agenda ambazo zimeanzishwa tu na watu wachache kwa maslahi yao binafsi ambapo wengi ni wapagani au wapinga kristo hawafuati ukristo kabisa. Je kuhusu ninyi dini ya Mwinyaaz Mungu je ni mambo mangapi mumefanya yaliyoleta matatizo kwenye jamii. Angalia inchi za kiarabu, ndio watu makatili zaidi duniani; hakuna utu kule. Hamjiamini ndio maana munatumia nguvu kubwa sana kuwaaminisha watu kuwa nyie ni wa haki na Allah keshawaahidi wanaume wavaa kobaaz mabikra 72 uko Akhera madukani ndio maana munapatwa na kichaa munawehuka munampigania Allah kwa kujitoa muhanga eti kumuua kafiri dah!?
 
Wrong interpretation and misleading information about Ibrahimic religious beliefs, yaani Christianity, jewism and Islamic! Huu ni utamaduni wa middle East,ulio sahihi katika namna nzuri ya kuwasiliana na MUNGU wetu, tatizo ni walio upeleka ujumbe ndiyo wameingiza tamaa zao, [emoji23][emoji23],Watu wa ulaya walipotuletea ukristo kutoka middle East,walituaminisha kwamba we are cursed generation and we must work for them,hizo akili zimewaharibu watu.
Nimezisoma hizi Dini tatu za Ibrahimic, Hakuna utofauti ten God's commandments are universal agreement for all human beings All over the world [emoji24][emoji1787][emoji1787]
 
Kinachoniuma zaidi DINI Yao imeasisiwa na Roman Catholic.

JESUIT+VATCAN + SHETANI NA MAJINI+ MOHAMED.

Tukiwaambia hawaelewi
Quran Imeandikwa VATCAN
mamaako arikuwepo rabuda wakati wakuhandika rabuda?au unahongea tuu wehe pimbi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…