professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Hakuna comment kuruka mpaka sasa hata kujaribu kutuonesha kua ukristo ni Dini umeshindwaUsirukie comment. Hii comment haihusu ukristo kuwa dini au sio dini.(comment ya Dini ipo, itafute uijibu)
Hii comment inahusu UISLAM KUWEPO KABLA YA MOHAMAD,nikimtaka athibitishe kuwa Uislam ukikuwepo kabla ya mohamad (nilimuiliza mwenzako naona amekula kona)
Mwambie athibitishe kua ukristo ni Dini
Sent from my
Hakuna wa kudhibitisha ...
Ukristo sio DININarudia tena swali langu unalolikwepa.
[emoji116]
Bado nauliza hujanijibu, TUSHIKE LIPI?UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?
Unapokwepa swali mimi ndio nazidi kukukomalia. Kama unajiamini JIBU SWALI.Hakuna comment kuruka mpaka sasa hata kujaribu kutuonesha kua ukristo ni Dini umeshindwa
Hapo juu maelezo na umeshapewa na umesema ni gazeti haya tunasubiri gazeti lako sasa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Safi kabisa. Mimi nina swali moja tu rahisi sana kwako.
Ona unavyo changanyikiwa ushajibiwa kitambo comment ulio iqoute inataka ututhibishie kama ukristo ni DiniUnapokwepa swali mimi ndio nazidi kukukomalia. Kama unajiamini JIBU SWALI.
Nakuuliza tena. Kwa mujibu wa mwenzako aliyesema Ukristo ni Dini ya mchongo, Tushike Lipi? UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?
Ushahidi upo wapi?Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.
Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.
Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.
Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.
Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.
Kwa hiyo naona unajaza maswali tu vipi huwezi kuthibitisha kama ukristo ni dini tafuta na wewe gazeti lakoSafi kabisa. Mimi nina swali moja tu rahisi sana kwako.
Hili hapa [emoji116]
DINI NI NINI? Unaweza kunipa definition ya Dini?
Hayo ni maoni yako kila mtu ana imani na kiongozi wake, kama wewe ulikua na hoja kwa nini usimuulize sheik maana alikua mbele yako? Acha kuleta mifarakano ya dini, kila muumini aamini anacho kiamini kufuatana na mafundisho ya dini yakeKujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.
Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.
Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.
Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.
Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.
Usiogope kijana.... naona ushaanza kupata woga. Twende taratibu hapa.Kwa hiyo naona unajaza maswali tu vipi huwezi kuthibitisha kama ukristo ni dini tafuta na wewe gazeti lako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uende na nani taratibu wakati umeshindwa kuthibitisha kama ukristo ni DiniUsiogope kijana.... naona ushaanza kupata woga. Twende taratibu hapa.
DINI NI NINI? Hebu nipe definition ya Dini.
Yaan yy pesa awekewe kwa M pesa na mumber katoa zinapita kwenye screen lakin manyumbu wao waombe tu kwa iman..😀😁😁🤣...Hhhhhhhhhhh pole sanaa untka mburuzwe mara ngapi?
Wakati mnatajirisha mapadri na nyie mkibaki hohehahe
Yni ukristo we ukiamua kusema lko we sema tuu na utakubalika
Tizama hawa wajinga wanavoaminishwa ujinga na kuburuzwa prrrrrrrrrrrrr
View attachment 2519239
Ndio maana waisraeli walivyo waona tu kua ni mapopoma wakawaachia akili zaoHakuna kitu kizuri km uwelewa hawa wenzetu wa upande wa pili wamekosa uelewa kabisa kabisa wanaamini kabisa yesu alizaliwa na alikua na kukua na watu wa wakati huo walimuona na kukua nae lakini hapo hapo wanaamini kua yesu ni mungu hapo hapo Tena wanaamini mungu ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa yaani wanatushangaza Sana watu hawa
Waislam wengi humu JamiiForums nikiwafikishaga hapa kwenye kuwauliza waniambie Dini nini, huwa wanakula kona...Huwa wanaliogopa hili swali.Uende na nani taratibu wakati umeshindwa kuthibitisha kama ukristo ni Dini
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ubavu ndio nini wakati mpaka sasa umeshindwa kuthibitisha kama ukristo ni diniWaislam wengi humu JamiiForums nikiwafikishaga hapa kwenye kuwauliza waniambie Dini nini, huwa wanakula kona...Huwa wanaliogopa hili swali.
Wewe kama una ubavu, JIBU HILO SWALI.
DINI NI NINI? Iweke hapa Difinition/Tafsiri ya Dini.
Nipo hapa Nakusubiri.