Kuna wimbi la biashara ya ukahaba kwenye vyuo vikuu kupitia Instagram

Hizi wanafunzi kujiuza lipo dunia nzima nadhani greed haijawahi muacha salama binadamu.

Nje hao connector wanajulikana na wanalipa Kodi.
Kwa waliokaa nje like Russia Kuna website unaingia unamcheki alipo,Bei yake, umri Urefu uzito Bei zake na huduma anazotoa so nothing new. Urbanization inapokuja na ulaya watu wanamkataa Ila hakuna namna ujue.baadaye unaoa msomi unajisifia kumbe watu walikuwa wanajipigia mtungo Ila wanaume tunabeba mengi mno
 
Dah! Ndiyo hivyo mkuu
 
Kwahiyo mwili unauzwq sana na dada zetu hawa
 
Mwanaume mzima mbea. Kweli wanaume ndo wanaongoza kwa umbea. Sasa wewe hayo mambo ya wao kujiuza yanakuhusu nini? Au hutaki wenzio wajipigie.
Instagram imekuja kuwatetea wateja wake..πŸ˜‚
 

Wanachuo wanajiuza vizuri tu
Mimi nimekula wengi fuatilia uzi niliwahi weka utaelewa vizuri
Japokua Sipingani na wewe kuhusu watu kusema ni wanachuo wanatumia mlengo wa uanachuo kujiuza
 
Mwanaume mzima mbea. Kweli wanaume ndo wanaongoza kwa umbea. Sasa wewe hayo mambo ya wao kujiuza yanakuhusu nini? Au hutaki wenzio wajipigie.
Bwana mdogo unalo!
Instagram uliyoizodoa kutumiwa na malaya wa chuo, imekujibu tena live kabisa!
 
Ila mkuu na wewe ni "jinias" sana.

Ugharamie mwanamke kwa ajili ya kampani tu pekee, anakutoza pesa na vinywaji na usimlale?

Sijawahi kusikia pahala, nimeanzia kwako.

Naweka hisia kama ningelikuwa kama ndiye mimi nafanya hivyo sasa!

Maongezi ya kirafiki kama unaongea na rafiki yako wa kiume, hamsogeleani, hamcheki lile cheko la rohoni, mnaishia kutabasamu tu, tena tabasamu la bandia kuna kampani gani hapo jamani?

Kwangu kampani ya mwanamke tamu ni ile ya yule nilokwisha fanya naye, lakini leo nimemuita tuishie kupiga tu stori, labda hivyo!

Kampani kama hizo za kukaa meza moja viti mbali mbali bila ya kusogeleana, kwanini nisitafute kampani ya rafiki wa kiume tukanywa, tukapiga stori muda umeenda tukatawanyika?

Hili la kampani ya mtoto wa kike kwa maongezi pekee bila ya kumgusa na mnakubaliana kabisa, kwangu ni geni inabidi nifundishwe kwa kupelekwa kozi!

Maana ninaona kama vile fisi kulazwa zizi moja na mbuzi mpaka asubuhi na ukawakuta wako salama wanaangaliana tu kirafiki raha mustarehe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…