Kuna wimbi la biashara ya ukahaba kwenye vyuo vikuu kupitia Instagram

Huyo ni mwingine.

Mimi nilikuwa mtumiaji wa magrupu ya Instagram ya hao watu kwenye mikoa ya Dar na Dodoma, wee acha tu, nilikuja kukutana na mtoto wa kaka wa Rafiki yangu baada ya hapo nikaachana nayo.

Kumbe anajiuza, ni hatari sana.
Ni balaa hii sana!
 
Huo ni Ufala

Piga mzigo Kila mtu ale 50 zake.

Labda kama ni ndugu Yako.

Otherwise ulikuwa ni unaaa!!
 
Nyie mnasema Instagram Kuna Snapchat Ina balaa hiyo insta haifikii.Kuna Sehemu unalipia anakuja mtu Live anaanza kuvua kimoja baada ya kingine yaani live.Uzuri wa Snapchat ukirekodi inamuambia muhusika muda huo huo,Ukiscrenshot inamwambia muda huo huo ni noma Hadi Hawa wasanii wakubwa ukitaka wanakuja pesa yako tu.
 
Nisaidie namba ya huyo connecter au Akaunti yake ya Insta niko mwanza nna wiki sina company yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…