AnalipendaKaribu nyimbo zote za huyu kijana nilizozisikia ametumia neno MOYO kwenye mistari yake.
Kuna wimbo ambao hajatumia hili neno kweli??
Hivi young killer hajajenga?Shida yake ilikua ni kupata gar nyumba ya kupanga dar dem mzur hela ya mafuta na kulipia kodi basi kawaida kwa wasanii wa mwanza wote we wafatilie tu utagundua fid q peke yake koz anaimba ngumu na mkewe anampush
Sidhaniii kmaa n kweliii!
!
Ndio alivyoshauriwa na Mganga wake.
Labda mwanza sio dar na mwanza usikute amefanya repair kwenye nyumba yao kuonekana sana kwenye kideo bila hesabu dogo namuona nae fulsa inampita kamshindwa dogo janja anasubir mpk afeli ndo atoe nyimbo cjui anataka kua teja nilimkubali sana young ameniangusha ameanza kunata yani kwel mbongo usimpende utamuaribuHivi young killer hajajenga?
Haha handsome asiyekuwa na matunzo mc h atari anayeogopwa na mabaunsa wenu dogo kama hajajenga kazingua hajui mziki wa bongo upepo to usipojipanga kutoka 100 to 0 kawaida tatizo hawataki kujifunza kwa akina afande sele na wengineLabda mwanza sio dar na mwanza usikute amefanya repair kwenye nyumba yao kuonekana sana kwenye kideo bila hesabu dogo namuona nae fulsa inampita kamshindwa dogo janja anasubir mpk afeli ndo atoe nyimbo cjui anataka kua teja nilimkubali sana young ameniangusha ameanza kunata yani kwel mbongo usimpende utamuaribu
Ndo mana nasema mwanza kwa watani zangu sijui kunatatizo gani toka enzi za wakoloni tumewasaidia sana tumeoa sna dada zao lkn wapi msanii akizingua kwenye game we uliza katokea wp dogo mkali sana ney alimuimba nae akajibu neema wa mitego alimchana vbaya ila bado anaugonjwa wa mwanza feverHaha handsome asiyekuwa na matunzo mc h atari anayeogopwa na mabaunsa wenu dogo kama hajajenga kazingua hajui mziki wa bongo upepo to usipojipanga kutoka 100 to 0 kawaida tatizo hawataki kujifunza kwa akina afande sele na wengine
Wapi SAJNANdo mana nasema mwanza kwa watani zangu sijui kunatatizo gani toka enzi za wakoloni tumewasaidia sana tumeoa sna dada zao lkn wapi msanii akizingua kwenye game we uliza katokea wp dogo mkali sana ney alimuimba nae akajibu neema wa mitego alimchana vbaya ila bado anaugonjwa wa mwanza fever
Ivi nae ni wa mwanza duh mkoa inabidi uchunguzweWapi SAJNA