DOKEZO Kuna wizi unafanyika kwenye mifumo ya control number, sijui nani atachunguza labda Rais kuagiza watu wa usalama wa Taifa wachunguze

DOKEZO Kuna wizi unafanyika kwenye mifumo ya control number, sijui nani atachunguza labda Rais kuagiza watu wa usalama wa Taifa wachunguze

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Ninapata mashaka na mifumo ya control number huenda imechezewa sana. Katika hali ya kushangaza, mifumo hii ina tabia za kutofautiana sana kutoka taasisi moja hadi nyingine na ndani ya taasisi moja.

Nitatoa mfano;
Nilikuwa nadaiwa pesa yapata laki nne nikapewa control number. Hata hivyo nilitaka kuzilipa kwa awamu mbili, lakini mfumo ulinilazimisha nilipe pesa yote kwa wakati mmoja.

Siku nyingine nilitakiwa kulipa laki na elfu sitini, hata hivyo kwa haraka zangu nilijikuta nimelipa online kupitia benki kiasi cha laki moja na nusu. Nikasubiri majibu kuwa nimelipa, lakini haikunipa majibu yoyote. Nikaenda benki wakaniambia pesa imekatwa na kulipa hiyo pesa lakini control number bado inaonekana haijapokea malipo.

Kwa vile ilikuwa na deadline, niliamua kulipa kupitia njia ya tigo pesa halafu nikawadai benki ile pesa waliyokata kwenye akaunti yangu. Wao wakasema nao wanaidai kwenye taasisi iliyoikata pesa hiyo. Ni mwezi wa tano leo sijaipata pesa hiyo.

Pia kuna wakati nilipigwa faini barabarani kwa kuzidisha spidi ya gari. Nilivyoandikiwa control number, ilionesha jina la mmiliki wa awali wa gari, wakati nilishabadili umiliki TRA. Nilijiuliza kwa nini mifumo hii haisomani? Au kuna kitu kipo nyuma ya pazia hatukijui?

Nashawishika kuamini kuna hujuma kubwa sana inafanywa kwenye hii mifumo na huenda kuna vigogo wa siri hii.

Kwa hali ilivyo, ni Rais pekee ndiye anaweza kufanya kitu. Badala ya kuagiza wanaosimamia mifumo hii wachunguze, anapaswa kuagiza watu wa usalama wa taifa wafanye kazi hiyo. Ikibidi watafute wataalamu wa nje kama vile Israel kuwasaidia. Vinginevyo watu watakuwa wakitakatisha pesa tu na hatuwezi kuwajua.

Pia soma: DOKEZO - Serikali inapata hasara ya mabilioni kwa watumiaji wa mifumo ya TEHAMA kulipia huduma isiyoendana na kiasi cha fedha kilicholipwa
 
Hizo hela zinachepushwa na kuingia mifukoni mwa watu! Mbona hiko wazi? Issue ya Mbeya na Arusha uliisikia? Issue ya michango ya waajiriwa kwa mifuko ya jamii hasahasa PSSSF uliisikia? Hela yote inapigwa! Nani wa kuliokoa taifa hili jamani? Labda Makonda tumpe nchi!
 
Vinginevyo watu watakuwa wakitakatisha pesa tu na hatuwezi kuwajua.
Vijana wamesoma IT wapo Street kazi hawana Ajira hawana HAPO ni mwendo wa kuchekecha mifumo TU mpaka kieleweke yaan mpaka Akili ziwakae Sawa

Hivi Serikali haioni km ni HATARI kusomesha Hawa vijana Teknolojia ya Habari na Mawasiliano alafu kuwaacha TU mitaani wanazagaazagaa unafikiri wata-practice wapi kile walichojifunza miaka mingi km SIO kwenye HIO HIO mifumo YAO?
 
Ninapata mashaka na mifumo ya control number huenda imechezewa sana. Katika hali ya kushangaza, mifumo hii ina tabia za kutofautiana sana kutoka taasisi moja hadi nyingine na ndani ya taasisi moja.

Nitatoa mfano;
Nilikuwa nadaiwa pesa yapata laki nne nikapewa control number. Hata hivyo nilitaka kuzilipa kwa awamu mbili, lakini mfumo ulinilazimisha nilipe pesa yote kwa wakati mmoja.

Siku nyingine nilitakiwa kulipa laki na elfu sitini, hata hivyo kwa haraka zangu nilijikuta nimelipa online kupitia benki kiasi cha laki moja na nusu. Nikasubiri majibu kuwa nimelipa, lakini haikunipa majibu yoyote. Nikaenda benki wakaniambia pesa imekatwa na kulipa hiyo pesa lakini control number bado inaonekana haijapokea malipo.

Kwa vile ilikuwa na deadline, niliamua kulipa kupitia njia ya tigo pesa halafu nikawadai benki ile pesa waliyokata kwenye akaunti yangu. Wao wakasema nao wanaidai kwenye taasisi iliyoikata pesa hiyo. Ni mwezi wa tano leo sijaipata pesa hiyo.

Pia kuna wakati nilipigwa faini barabarani kwa kuzidisha spidi ya gari. Nilivyoandikiwa control number, ilionesha jina la mmiliki wa awali wa gari, wakati nilishabadili umiliki TRA. Nilijiuliza kwa nini mifumo hii haisomani? Au kuna kitu kipo nyuma ya pazia hatukijui?

Nashawishika kuamini kuna hujuma kubwa sana inafanywa kwenye hii mifumo na huenda kuna vigogo wa siri hii.

Kwa hali ilivyo, ni Rais pekee ndiye anaweza kufanya kitu. Badala ya kuagiza wanaosimamia mifumo hii wachunguze, anapaswa kuagiza watu wa usalama wa taifa wafanye kazi hiyo. Ikibidi watafute wataalamu wa nje kama vile Israel kuwasaidia. Vinginevyo watu watakuwa wakitakatisha pesa tu na hatuwezi kuwajua.

Pia soma: DOKEZO - Serikali inapata hasara ya mabilioni kwa watumiaji wa mifumo ya TEHAMA kulipia huduma isiyoendana na kiasi cha fedha kilicholipwa
Rais, wetu ana uwezo, mdogo sana, wa, kuongoza,"she is, overwhelmed by sheer size of responsibility of governing"Mambo ya security, uchumi, uharifu, nk, yote haya, Samia,Hana uwezo, mental brain capacity ya kuyachakata, nchi inajiendea tu, maana mama, hatoi mwongozo!
Mfano mdogo tu,mwanamke mwenzie ananyanyaswa hadharani, Taasisi za, chama zinakalipia, Taasisi za, sheria zinakalipia, Mama hatii neno,ndio kwanza, anaenda kucheza "ameroa"ya kondeboy, siku ya, pili tunasikia anakwea pipa kwenda majuu,Korea! So, patheric
 
Rais, wetu ana uwezo, mdogo sana, wa, kuongoza,"she is, overwhelmed by sheer size of responsibility of governing"Mambo ya security, uchumi, uharifu, nk, yote haya, Samia,Hana uwezo, mental brain capacity ya kuyachakata, nchi inajiendea tu, maana mama, hatoi mwongozo!
Mfano mdogo tu,mwanamke mwenzie ananyanyaswa hadharani, Taasisi za, chama zinakalipia, Taasisi za, sheria zinakalipia, Mama hatii neno,ndio kwanza, anaenda kucheza "ameroa"ya kondeboy, siku ya, pili tunasikia anakwea pipa kwenda majuu,Korea! So, patheric
Huu ujinga wa kulaumu Rais kwenye kila KITU tumeshauchoka SASA tumechoka tumechoka tumechoka, wewe itakua hata ukishakunya utataka Rais akuchambe na ikiwa kwamba Mavi umekunya mwenyewe unaanza kulialia unataka Rais akuchambe kwani wewe hauna Mikoni ya kujichamba umekatwa Mikono wewe?
 
Ninapata mashaka na mifumo ya control number huenda imechezewa sana. Katika hali ya kushangaza, mifumo hii ina tabia za kutofautiana sana kutoka taasisi moja hadi nyingine na ndani ya taasisi moja.

Nitatoa mfano;
Nilikuwa nadaiwa pesa yapata laki nne nikapewa control number. Hata hivyo nilitaka kuzilipa kwa awamu mbili, lakini mfumo ulinilazimisha nilipe pesa yote kwa wakati mmoja.

Siku nyingine nilitakiwa kulipa laki na elfu sitini, hata hivyo kwa haraka zangu nilijikuta nimelipa online kupitia benki kiasi cha laki moja na nusu. Nikasubiri majibu kuwa nimelipa, lakini haikunipa majibu yoyote. Nikaenda benki wakaniambia pesa imekatwa na kulipa hiyo pesa lakini control number bado inaonekana haijapokea malipo.

Kwa vile ilikuwa na deadline, niliamua kulipa kupitia njia ya tigo pesa halafu nikawadai benki ile pesa waliyokata kwenye akaunti yangu. Wao wakasema nao wanaidai kwenye taasisi iliyoikata pesa hiyo. Ni mwezi wa tano leo sijaipata pesa hiyo.

Pia kuna wakati nilipigwa faini barabarani kwa kuzidisha spidi ya gari. Nilivyoandikiwa control number, ilionesha jina la mmiliki wa awali wa gari, wakati nilishabadili umiliki TRA. Nilijiuliza kwa nini mifumo hii haisomani? Au kuna kitu kipo nyuma ya pazia hatukijui?

Nashawishika kuamini kuna hujuma kubwa sana inafanywa kwenye hii mifumo na huenda kuna vigogo wa siri hii.

Kwa hali ilivyo, ni Rais pekee ndiye anaweza kufanya kitu. Badala ya kuagiza wanaosimamia mifumo hii wachunguze, anapaswa kuagiza watu wa usalama wa taifa wafanye kazi hiyo. Ikibidi watafute wataalamu wa nje kama vile Israel kuwasaidia. Vinginevyo watu watakuwa wakitakatisha pesa tu na hatuwezi kuwajua.

Pia soma: DOKEZO - Serikali inapata hasara ya mabilioni kwa watumiaji wa mifumo ya TEHAMA kulipia huduma isiyoendana na kiasi cha fedha kilicholipwa
Unaosema wasaidie ndio mastermind wa haya yote..kwa kujua au pasipo kujua..mganga hajigangi. Wewe umeajiri mlinzi akulinde halafu kila siku wewe ndie unamwamsha kuangalia geti km limefungwa..badae unamtuma aangalie fensi km iko sawa..wewe ndie utakuwa huna akili, na huelewi unalofanya na huyo mlinzi wako.
 
Rais, wetu ana uwezo, mdogo sana, wa, kuongoza,"she is, overwhelmed by sheer size of responsibility of governing"Mambo ya security, uchumi, uharifu, nk, yote haya, Samia,Hana uwezo, mental brain capacity ya kuyachakata, nchi inajiendea tu, maana mama, hatoi mwongozo!
Mfano mdogo tu,mwanamke mwenzie ananyanyaswa hadharani, Taasisi za, chama zinakalipia, Taasisi za, sheria zinakalipia, Mama hatii neno,ndio kwanza, anaenda kucheza "ameroa"ya kondeboy, siku ya, pili tunasikia anakwea pipa kwenda majuu,Korea! So, patheric
 
Huu usenge wa kulaumu Rais kwenye kila KITU tumeshauchoka SASA tumechoka tumechoka tumechoka, wewe itakua hata ukishakunya utataka Rais akuchambe na ikiwa kwamba Mavi umekunya mwenyewe unaanza kulialia unataka Rais akuchambe kwani wewe hauna Mikoni ya kujichamba umekatwa Mikono wewe?
Mnataka wote tuwe machawa, tutamkosoa kwa kifupi uwezo wake ni mdogo..
 
Back
Top Bottom