Kunahitajika Adhabu kali; hali ni tete Tanzania

Kunahitajika Adhabu kali; hali ni tete Tanzania

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Sina haja ya kubwabwaja sana, matendo na vitendo vinavyotendwa katika hujma mbalimbali humu Tanzania ni vya kusikitisha na kuhuzunisha sana.

Mauaji ya ovyo ovyo, watu kukatwa mapanga mchana kweupe usiku ndio usiseme, na yote hayo hufanywa na watu wa rika mbali mbali na wakati mwengine au niseme, hali hiyo haihusiani kabisa na uchumi wa nchi.

Hakuna tena kuogopa polisi wala sungusungu wala kifungo wala kufungwa, tupo katika hali ya liwalo na liwe.

Kuzoeleka kwa matendo hayo kunazidi siku hadi siku, ile kwenda jela na kazi ngumu haipo tena.

Anaetoka jela huwa anarudi na nguvu mpya na hata woga umeshamtoka ubaya ubaya unazidi mara mbili.

Nini lifanyike ili kukabiliana na hali hii?

Wezi wakatwe mikono au wanaotumia silaha badala ya kufungwa iwe ni adhabu ya kifo moja kwa moja na wachomwe moto huko huko jela.

Inapothibitika kwa ushahidi usio na shaka basi sheria kali zifuate mkondo wake, tuache kupapasana kwa kupelekana jela kama kupelekwa kutembea na mtu akitoka kanenepa.

Anayekwenda jela kwa ukatili iwe kutoka kwake jela ni majaaliwa na huko jela asifugwe kama simba wa maonyesho, apotezwe, na ijulikane wazi ukiingizwa jela kwa kutumia silaha kukaba basi ujue, serikali haitakupeleka jela kukupa chakula cha bure, kwani wewe hufai kuishi ni mtu hatarishi kwa jamii, tunakufugia nini, funga jiwe zamisha baharini samaki watafaidi.
 
Unasema vipi serikali isilaumiwe wakati hizo ni stress zinazosababishwa na huu mfumuko wa bei unaolikabili taifa kwa sasa, watu wakiwa na nafuu mfukoni hasira haziwezi kuwepo.

Hata mwanaume anaweza kuchepuka ili kuondoa stress za nyumbani, lakini kama akikosa cha kumhonga mchepuko wake matokeo yake ndio anashika panga.
 
laiti binadamu tungekua tunafuata adhabu za Muumba yasingetukuta haya

Muumba alishasema mwizi akatwe mkono, mzinifu alieoa auliwe tu lkn mwanadamu akaona yy hyo yanambana eti akaja na sheria zake na hya ndo yanotupta na hayatoondoka mpk tufuate sheria za Muumba.
 
umeandika kwa hisia kali ka vile wewe ni mkamilifu sanaaa
ili hali huwa na wewe una madhaifu yakoooo


Luka 6:41-45

Kwa hio unafurahia yanayoendelea, na tattizo linaloonekana kwako ni mvivu wa kufahamu.
Nenda kasome 2 Chronicles 24:20.

20 Na roho ya Mungu ikamjia Zekaria, mwana wa Yehoyada, kuhani; naye akasimama juu ya watu, akawaambia, Mungu asema hivi, Kwani ninyi kuzihalifu amri za Bwana, hata msiweze kufanikiwa? Kwa kuwa mmemwacha Bwana, yeye naye amewaacha ninyi.
 
Ingekuwa vitisho ni tiba juu ya dhambi basi Waislamu wangeongoza kwa matendo mema katika jamii, maana mahubiri yao mengi yamejaa vitisho.

Mtu anapoamua kuutenda uovu hofu zote za kifo, jela, kuchinjwa, n.k zinamtoka.
 
Mbaya zaidi wizi unaanza na watawala wenyewe
kuna maeneo DSM polisi wanapita kwenye grocery za vileo wakiwakuta wanawasomba.....hata lodge/guest wakiwakuta wanaobanjuana mchana wanawachukua...na kuwapeleka kwenye chumba cha wahalifu police post, kisha kila mmoja alokamatwaa atajitetea kivyake kwa kutoa hela isiyokuwa na risitii ---- wizi wa kisiri siriii
 
Sina haja ya kubwabwaja sana, matendo na vitendo vinavyotendwa katika hujma mbalimbali humu Tanzania ni vya kusikitisha na kuhuzunisha sana.

Mauaji ya ovyo ovyo, watu kukatwa mapanga mchana kweupe usiku ndio usiseme, na yote hayo hufanywa na watu wa rika mbali mbali na wakati mwengine au niseme, hali hiyo haihusiani kabisa na uchumi wa nchi.

Hakuna tena kuogopa polisi wala sungusungu wala kifungo wala kufungwa, tupo katika hali ya liwalo na liwe.

Kuzoeleka kwa matendo hayo kunazidi siku hadi siku, ile kwenda jela na kazi ngumu haipo tena.

Anaetoka jela huwa anarudi na nguvu mpya na hata woga umeshamtoka ubaya ubaya unazidi mara mbili.

Nini lifanyike ili kukabiliana na hali hii?

Wezi wakatwe mikono au wanaotumia silaha badala ya kufungwa iwe ni adhabu ya kifo moja kwa moja na wachomwe moto huko huko jela.

Inapothibitika kwa ushahidi usio na shaka basi sheria kali zifuate mkondo wake, tuache kupapasana kwa kupelekana jela kama kupelekwa kutembea na mtu akitoka kanenepa.

Anayekwenda jela kwa ukatili iwe kutoka kwake jela ni majaaliwa na huko jela asifugwe kama simba wa maonyesho, apotezwe, na ijulikane wazi ukiingizwa jela kwa kutumia silaha kukaba basi ujue, serikali haitakupeleka jela kukupa chakula cha bure, kwani wewe hufai kuishi ni mtu hatarishi kwa jamii, tunakufugia nini, funga jiwe zamisha baharini samaki watafaidi.
Kunywa maji kwanza unawahi wapi wewe??
 
Sina haja ya kubwabwaja sana, matendo na vitendo vinavyotendwa katika hujma mbalimbali humu Tanzania ni vya kusikitisha na kuhuzunisha sana.

Mauaji ya ovyo ovyo, watu kukatwa mapanga mchana kweupe usiku ndio usiseme, na yote hayo hufanywa na watu wa rika mbali mbali na wakati mwengine au niseme, hali hiyo haihusiani kabisa na uchumi wa nchi.

Hakuna tena kuogopa polisi wala sungusungu wala kifungo wala kufungwa, tupo katika hali ya liwalo na liwe.

Kuzoeleka kwa matendo hayo kunazidi siku hadi siku, ile kwenda jela na kazi ngumu haipo tena.

Anaetoka jela huwa anarudi na nguvu mpya na hata woga umeshamtoka ubaya ubaya unazidi mara mbili.

Nini lifanyike ili kukabiliana na hali hii?

Wezi wakatwe mikono au wanaotumia silaha badala ya kufungwa iwe ni adhabu ya kifo moja kwa moja na wachomwe moto huko huko jela.

Inapothibitika kwa ushahidi usio na shaka basi sheria kali zifuate mkondo wake, tuache kupapasana kwa kupelekana jela kama kupelekwa kutembea na mtu akitoka kanenepa.

Anayekwenda jela kwa ukatili iwe kutoka kwake jela ni majaaliwa na huko jela asifugwe kama simba wa maonyesho, apotezwe, na ijulikane wazi ukiingizwa jela kwa kutumia silaha kukaba basi ujue, serikali haitakupeleka jela kukupa chakula cha bure, kwani wewe hufai kuishi ni mtu hatarishi kwa jamii, tunakufugia nini, funga jiwe zamisha baharini samaki watafaidi.
Siku ukibambikwa kesi ukaenda jela ndo akili itakaa sawa. Sitetei wale wanaojeruhi ama kuumiza watu ila nakupinga nikijua Magereza zetu zimejaa watu wenye kesi za kusingiziwa. Tafakari.
 
Siku ukibambikwa kesi ukaenda jela ndo akili itakaa sawa. Sitetei wale wanaojeruhi ama kuumiza watu ila nakupinga nikijua Magereza zetu zimejaa watu wenye kesi za kusingiziwa. Tafakari.
Hilo ni suala jingine unaloliongelea,nipo na hali ya nchi sio shwari ,watu wanauliwa hovyo,wanapigwa mapanga hovyo mpaka watoto wamefikia kuichezea masharubu serikali na vyombo vyake vya ulinzi ,yote kwa sababu adhabu za kimahakama wanazopewa hazina makali.
 
Sina haja ya kubwabwaja sana, matendo na vitendo vinavyotendwa katika hujma mbalimbali humu Tanzania ni vya kusikitisha na kuhuzunisha sana.

Mauaji ya ovyo ovyo, watu kukatwa mapanga mchana kweupe usiku ndio usiseme, na yote hayo hufanywa na watu wa rika mbali mbali na wakati mwengine au niseme, hali hiyo haihusiani kabisa na uchumi wa nchi.

Hakuna tena kuogopa polisi wala sungusungu wala kifungo wala kufungwa, tupo katika hali ya liwalo na liwe.

Kuzoeleka kwa matendo hayo kunazidi siku hadi siku, ile kwenda jela na kazi ngumu haipo tena.

Anaetoka jela huwa anarudi na nguvu mpya na hata woga umeshamtoka ubaya ubaya unazidi mara mbili.

Nini lifanyike ili kukabiliana na hali hii?

Wezi wakatwe mikono au wanaotumia silaha badala ya kufungwa iwe ni adhabu ya kifo moja kwa moja na wachomwe moto huko huko jela.

Inapothibitika kwa ushahidi usio na shaka basi sheria kali zifuate mkondo wake, tuache kupapasana kwa kupelekana jela kama kupelekwa kutembea na mtu akitoka kanenepa.

Anayekwenda jela kwa ukatili iwe kutoka kwake jela ni majaaliwa na huko jela asifugwe kama simba wa maonyesho, apotezwe, na ijulikane wazi ukiingizwa jela kwa kutumia silaha kukaba basi ujue, serikali haitakupeleka jela kukupa chakula cha bure, kwani wewe hufai kuishi ni mtu hatarishi kwa jamii, tunakufugia nini, funga jiwe zamisha baharini samaki watafaidi.
Kupitia haya mawazo yako, nakushauri uangalie namna ya kuhamia Afghanstan kwa akina Taliban!

Naamini huko utaishi aina hii ya maisha unayopenda.
 
Cha kushangaza hao majambazi huwa wanatumika na CCM kufanyia watu unyama ili wabaki madarakani!
 
Hilo ni suala jingine unaloliongelea,nipo na hali ya nchi sio shwari ,watu wanauliwa hovyo,wanapigwa mapanga hovyo mpaka watoto wamefikia kuichezea masharubu serikali na vyombo vyake vya ulinzi ,yote kwa sababu adhabu za kimahakama wanazopewa hazina makali.
Watu hawaogopi jela, wanaona kitaa ni kugumu zaidi hata chakula na malazi ni shida,
Hivyo wanaona bora magereza, uhakika wa msosi ipo, umeme, maji, hakuna kodi ya chumba nk,
 
Back
Top Bottom