Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Joto kuelekea Uchaguzi
==
Mbunge wa Mlimba, Godwin Kunambi ameiomba serikali kumpa kibali ashirikiane na wananchi kukarabati miundombinu ya barabara katika jimbo la Mlimba ambayo serikali imeshindwa kukarabati.
Kunambi ameyasema hayo wakati akichangia hoja za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu tarehe 03 Februari, 2025 bungeni jijini Dodoma.
Joto kuelekea Uchaguzi
==
Mbunge wa Mlimba, Godwin Kunambi ameiomba serikali kumpa kibali ashirikiane na wananchi kukarabati miundombinu ya barabara katika jimbo la Mlimba ambayo serikali imeshindwa kukarabati.
Kunambi ameyasema hayo wakati akichangia hoja za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu tarehe 03 Februari, 2025 bungeni jijini Dodoma.