Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 648
- 418
Wana jamvi naomba mwenye ufahamu katika hili anijuze,
Kuna jamaa yangu yupo Dar kaniambia zinatafutwa hela za zamani zipo nyingi tatizo miaka ilotajwa hakuna kabsa. Nilipoingia kwenye makolokolo aloniachia bibi nkakuta yapo zaidi ya sabini lakini kwa miaka ilotajwa nkabahatika kupata mbili tu.
Senti kumi ya kutoboka inahitajika ya miaka kati ya 1953-1963 mimi ninayo ya 1956.
Inahitajika pia coin ya sh25 yenye picha ya benki kuu ya Tanzania na iwe ile 1966-1991.
Pia hiyo ninayo inang'aa sana.
Mwenye kujua aniambie zina dili gani na zinalipaje?
Nipo Bukoba.
Kuna jamaa yangu yupo Dar kaniambia zinatafutwa hela za zamani zipo nyingi tatizo miaka ilotajwa hakuna kabsa. Nilipoingia kwenye makolokolo aloniachia bibi nkakuta yapo zaidi ya sabini lakini kwa miaka ilotajwa nkabahatika kupata mbili tu.
Senti kumi ya kutoboka inahitajika ya miaka kati ya 1953-1963 mimi ninayo ya 1956.
Inahitajika pia coin ya sh25 yenye picha ya benki kuu ya Tanzania na iwe ile 1966-1991.
Pia hiyo ninayo inang'aa sana.
Mwenye kujua aniambie zina dili gani na zinalipaje?
Nipo Bukoba.