Kunani makato ya mikopo kwenye mishahara ya wafanyakazi Januari 2022?

Kunani makato ya mikopo kwenye mishahara ya wafanyakazi Januari 2022?

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Kumekuwa na sintofahamu kwa wale wenye mikopo taasisi mbalimbali ukiangalia balance ya Desemba na ukatoa balance ya January utaona marejesho yamefanyika mara mbili.

Nusu umelipa wewe na nusu nyingine imelipwa na asiyejulikana.

Kwa maana kama ikiwa hivi mfanyakazi aliyekuwa na mkopo wa miaka 6 (kwamfano) atamaliza mkopo huo kwa miaka mitatu tu.

Mpaka sasa wapo wanaosema ni tatizo la mfumo na wengine wanasema ni mifuko ya pensheni ambayo imeamua kumsaidia mfanyakazi kulipa nusu ya Deni.

Naamini JF ni sehemu sahihi kupata haya majibu ndani ya muda mfupi nawasilisha.
 
Wale wenye mikopo iwe Helsb na bank nyingine deni la mwezi huu limekatwa ila unalipiwa tena kiasi kile kile..Je hii ipoje huko kwenu,au hazina mfumo ulikosea?
 
Mwenyewe nimeona hivyo,sina majibu kwa kweli
 
Kinachosikitisha mpaka Leo hakuna chombo cha habari au mwandishi wa habari aliyeamua futilia suala hili nakuja na majibu pengine kutoka kwa waziri wenye dhamana na masuala ya fedha au katibu mkuu hazina au kwa msemaji wa serikali

Yani hili suala limekuwa kama fumbo la Imani kuwa Kuna kiama siku ya mwisho so tunambiana tu pasipo kujua uhalisia

Hey wandishi wa habari hamuoni hii ni habari ambayo jamii inaitaji majibu
 
Kinachosikitisha mpaka Leo hakuna chombo cha habari au mwandishi wa habari aliyeamua futilia suala hili nakuja na majibu pengine kutoka kwa waziri wenye dhamana na masuala ya fedha au katibu mkuu hazina au kwa msemaji wa serikali

Yani hili suala limekuwa kama fumbo la Imani kuwa Kuna kiama siku ya mwisho so tunambiana tu pasipo kujua uhalisia

Hey wandishi wa habari hamuoni hii ni habari ambayo jamii inaitaji majibu
Leo lazima watoe ufafanuzi jF ni kubwa sana
 
Kaeni kimya mlipiwe na mwezi mwingine,mfumo utakua umecheza na hakuna wa kurekebisha.
 
Hii hoja ishaletwa humu wiki iliyopita na ikajadiliwa na wadau ila mpaka Sasa hakuna mrejesho zaidi tu tovuti ya salary slip portal wameifunga ina maana mtumishi hawezi tena kuaccess tarifa zake hapo ndio utata je walikosea au imekaaje bado fumbo la imani
 
Poleni watumishi wa Mungu, ooh No watumishi wa Umma , maana nyie ndio jalala la kila kitu wamewakatili mishahara hakuna nyongeza mwaka wa sita huu, hakuna kupandishwa madaraja na vyeo lakini bado mnakomaa tu hongereni sana kwa uvumilivu
 
Poleni watumishi wa Mungu, ooh No watumishi wa Umma , maana nyie ndio jalala la kila kitu wamewakatili mishahara hakuna nyongeza mwaka wa sita huu, hakuna kupandishwa madaraja na vyeo lakini bado mnakomaa tu hongereni sana kwa uvumilivu
Mungu akutie nguvu
 
Kumekuwa na sintofahamu kwa wale wenye mikopo taasisi mbalimbali ukiangalia balance ya Desemba na ukatoa balance ya January utaona marejesho yamefanyika mara mbili.

Nusu umelipa wewe na nusu nyingine imelipwa na asiyejulikana.

Kwa maana kama ikiwa hivi mfanyakazi aliyekuwa na mkopo wa miaka 6 (kwamfano) atamaliza mkopo huo kwa miaka mitatu tu.

Mpaka sasa wapo wanaosema ni tatizo la mfumo na wengine wanasema ni mifuko ya pensheni ambayo imeamua kumsaidia mfanyakazi kulipa nusu ya Deni.

Naamini JF ni sehemu sahihi kupata haya majibu ndani ya muda mfupi nawasilisha

Kumekuwa na sintofahamu kwa wale wenye mikopo taasisi mbalimbali ukiangalia balance ya Desemba na ukatoa balance ya January utaona marejesho yamefanyika mara mbili.

Nusu umelipa wewe na nusu nyingine imelipwa na asiyejulikana.

Kwa maana kama ikiwa hivi mfanyakazi aliyekuwa na mkopo wa miaka 6 (kwamfano) atamaliza mkopo huo kwa miaka mitatu tu.

Mpaka sasa wapo wanaosema ni tatizo la mfumo na wengine wanasema ni mifuko ya pensheni ambayo imeamua kumsaidia mfanyakazi kulipa nusu ya Deni.

Naamini JF ni sehemu sahihi kupata haya majibu ndani ya muda mfupi nawasilisha.
Kwa anaefahamu atusaidie atupe ufafanuzi maana wengine hatujaona hayo mabadiliko.
 
Kinachosikitisha mpaka Leo hakuna chombo cha habari au mwandishi wa habari aliyeamua futilia suala hili nakuja na majibu pengine kutoka kwa waziri wenye dhamana na masuala ya fedha au katibu mkuu hazina au kwa msemaji wa serikali

Yani hili suala limekuwa kama fumbo la Imani kuwa Kuna kiama siku ya mwisho so tunambiana tu pasipo kujua uhalisia

Hey wandishi wa habari hamuoni hii ni habari ambayo jamii inaitaji majibu
Unasikitika nini sasa wakati umelipiwa deni lako?.
 
Back
Top Bottom