Kunani mitihani ya f2?

Kunani mitihani ya f2?

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
1,399
Reaction score
255
Ni jambo la kutia huruma kwa jinsi walimu wanaosimamia na kusahihisha mitihani ya f2 wanavyo zalilishwa. Kwanza malipo kwa karatasi ni 200/ tu. Afu tenda ya kusahihisha hufanyika kwa moja ya shule ya mbunge mmoja wa CCM kwa DSM zamani ikiwa kanda ya Pwani.

Wadau, naomba tuijadili bila woga.
 
Back
Top Bottom