Mkuu simba kwa sasa mambo yetu tunafanya kimyakimya kelele tumewaachia vyura...angalia hii,hii ni kabda hata timu ya taifa haijaenda egypt but tuliamua tu kukaa kimyaJamani mi nasikia Mo Dewji kagoma kutoa pesa za usajili kisa Ni kukosa hati ya timu ya Simba ambayo inashikiliwa na Mzee Kilomoni. Na hiyo ndo iliyopelekea michakato ya kuwasajili baadhi ya wachezaji kama Ajib,Tuyisenge,Kahata,Bwalya, Kambole,etc imebaki kua tetesi maana huku vyura wananipa shida.Wadau ufafanuzi plz mwenye uhakika na hili. Povu ruksa!!!!
hata Yanga masimu ulopita walisema tunasajili kimyakimya baadae wakaibukia kwa Boban.Kiukweli kuna mkwamo ila wabongo wabishi kuelewa maana wanapenda timu kuliko mpira wenyeweMkuu simba kwa sasa mambo yetu tunafanya kimyakimya kelele tumewaachia vyura...angalia hii,hii ni kabda hata timu ya taifa haijaenda egypt but tuliamua tu kukaa kimyaView attachment 1123804
Kamati itoke wapi? Mikia mwenye pesa ni mtu mmoja. Akiugua, wote wanahahaKo simba hawana kamati ya usajili / mtu anayesimamia usajili?
Maana naona mo mwenyewe ndo kashika karatasi za mkataba.
Kitu ambacho hutamwona tajiri yoyote wa timu akikifanya.
Duh kweli hii Kali,msimu huu mnasajili kwa kutumia Facebook?Ajib hawezi kucheza Simba tena na hata ikitokea karudi kwa baba yake Simba misimu sita ijayo atakaa benchi tu.
Alafu ishu ya Mo kutokutoa pesa ni maneno ya mtaani tu (Tetesi) Gor mahia fans wamethibitisha Kahata si mchezaji wao tena wenye chuki wanamponda na wenye kumpenda wanampongeza .
group lipo facebook na hadi linatambuliwa na Gor mahia Fc kwa sababu linaendesha mashindano ya kupata mashabiki wataolipiwa tikiti n.k na Gor mahia official page wana_share.
Mkwamo gani mzee baba....nyinyi ndo mnataka kuwepo na mikwamo kitu ambacho hakipo...alafu mbona haya maswala mashabiki wa makwasukwasu wanatumia nguvu kubwa ku force ionekane na simba kuna matatizo kama wao....MTAPATA TABU SANA TULIENI DAWA IWAINGIEhata Yanga masimu ulopita walisema tunasajili kimyakimya baadae wakaibukia kwa Boban.Kiukweli kuna mkwamo ila wabongo wabishi kuelewa maana wanapenda timu kuliko mpira wenyewe
Kamati za usajili ni za wana Yanga, ngoja nikupe mfano Pale Barcelona kuna Abdal ni mkurugezi wa ufundi lakini anayemsainisha mchezaji ni Raisi wa Barcelona.Ko simba hawana kamati ya usajili / mtu anayesimamia usajili?
Maana naona mo mwenyewe ndo kashika karatasi za mkataba.
Kitu ambacho hutamwona tajiri yoyote wa timu akikifanya.
Hao wa kamati ya usajili ndo nini, acheni ushamba. Kazi ya kamati ni kutafuta mtu anayehitajika, kumsainisha sio kazi ya kamati ni kazi kiongozi mkuu wa klabu.Kamati itoke wapi? Mikia mwenye pesa ni mtu mmoja. Akiugua, wote wanahaha
We ushabiki mandazi unakusumbua.Simba na Yanga toka lini zikaanza kusajiri kimyakimya?Hakuna timu duniani inasajiri kimyakimya.Mkwamo gani mzee baba....nyinyi ndo mnataka kuwepo na mikwamo kitu ambacho hakipo...alafu mbona haya maswala mashabiki wa makwasukwasu wanatumia nguvu kubwa ku force ionekane na simba kuna matatizo kama wao....MTAPATA TABU SANA TULIENI DAWA IWAINGIE
Hata akitaka timu tumpe iwe yake milele tunampa tu...mashabiki ya makwasukwasu fc kwanini mnateseka mambo ya simba yanawahusu nini...kama mnaona wivuu na nyie mpeni mzee akilimali π π π ...DAWA IMEINGIA TAYARIIIINdio maana anataka na Hati pia ashike yeye
Unasubiri mtafaruku eeeh....we ndo shabiki maandazi ambaye kila unachosikia mtaani na mitandaoni basi unaamini kweli...eti moodewji vitu anavyopost vinahusiana na simbaπππ....we sikihizi umekuwa mtaalamu wa kuingia kichwani kwa watu na kutafsiri anachowaza???or wewe ni mpiga ramli mzee baba???...fisi kawaida siku zote akiona mtu anatembea huwa linafuata nyuma likiwa linajua eti mikono itadondoka...TULIENI DAWA IINGIE VIZURIWe ushabiki mandazi unakusumbua.Simba na Yanga toka lini zikaanza kusajiri kimyakimya?Hakuna timu duniani inasajiri kimyakimya.
Kama unayo smartphone na ni msomi mzuri,ukienda instagram hata sasaivi au tweeter uone vitu Mo anapost utajuwa kuwa kuna vitu haviko sawa kwake na hasa mambo ya simba.
Mwakajana mlisajiri mapema kikosi kikajulikana mapema.Leo huo utaratibu gani mpya wa kimyakimya.
Subiri vuguvugu hili la msimbazi lipite ndio utaona usajiri ukifanyika nje na hapo basi wachezaji waliopo wanatosha kuivusha simba mwakani.sio lazima kusajiri kiviile.