Kunani msimbazi?

Nasikia alishasaini Polokwane City huyo jamaa hii ipoje na kulikoni??
Ali saini pre contract...pre contract ni mkataba wa awali kuelekea mkataba kamili na unaruhusiwa kuuvunja....so nimchezaji wa simba kihalali kabisa
 
Mzee Kilomoni amedai hati hawezi kupewa wa kuja. .MO kazaliwa Singida
Mzee kolomoni anahati gani ya simba???we shabiki wa makwasukwasu fc uwe unafuatilia hata historia ya timu yako...hujui hata yale majengo ya simba na yanga historia yalipatikana vipi??...usipojua kuna siku mzee akilimali atawaambia anahati ya yanga na mtamwamini 😂 😂
 
Mara mo kagoma kutoa pesa, mara anasajili mwenyewe, mwatakaje makwasukwaau?
Makwasukwadu fc wanataka eti kamati ya usajili ndo iwasajili wachezaji wakati huko sisi tulishahama kitambo...hawajui kuwa simba ni kampuni sikuhizi inayohusika na usajili ni bodi ya wakurugenzi inayoongozwa na mwenyekiti wetu wa bodi ya wakurugenzi moodewji
 
Mambo ya kamati kwanza kibongobongo ni michongo ya upigaji pesa tu hakuna lolote
Hao makwasukwasu washasahau kuwa juzi tu walikua wanamlalamikia Nyika na timu yake

Hapo Yanga kwenyewe usajili wote kafanya kocha yaani kuongea na wachezaji hadi kukubaliana dau kaifanya mwalimu(Hii ni kwa mara ya kwanza duniani)
Sasa wanapotaka sisi kuwe na kamati ya usajili ili iweje????
 
Klabu gani hiyo ambayo kiongozi mkuu huwa anahangaika na mikaratasi kama anavyofanya mo?
Ushawahi muona Abromovich akifanya kitu kama hicho Chelsea ?
Acha kujifanya unajua
Kila timu inamtia saini kulingana na katiba yao inavyosema, hujaona Perezi wa Madrid, hujaona Bartomeo wa Barcelona alivyokua anamsainisha De Jong
 
Kumbuka mo ni mwekezaji
Hakuna klabu yoyote duniani utamkuta mwekezaji anakomaa na kusajili wachezaji !!!
Hill swala linakua chini ya technical director ndo mfumo wa kisasa wa kuendesha klabu.
Sasa kinachowauma kumuona Mo akisainisha wachezaji ni nini
 
Mkuu simba kwa sasa mambo yetu tunafanya kimyakimya kelele tumewaachia vyura...angalia hii,hii ni kabda hata timu ya taifa haijaenda egypt but tuliamua tu kukaa kimyaView attachment 1123804
Hichi kituko, sijawahi kuona Tajiri anapiga picha na mchezaji anaposaini

Abromovich, Glazer, Mwarabu wa City, Kraonke wa Arsenal

Hii ipo mikiani tu
 
Kila timu inamtia saini kulingana na katiba yao inavyosema, hujaona Perezi wa Madrid, hujaona Bartomeo wa Barcelona alivyokua anamsainisha De Jong
Sasa Perez ni mwekezaji pale Madrid? Mbona unachanganya mambo
 
Mkuu kama hutojali naweza pata jina la hilo group
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…