ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Naona washatoa thank you kwa wachezaji bora zaidi ya 13
Nimeshangaa wamemwa striker hatari Elvis Rupia na wangine.
Ndo kusema madeni yamewaandama wakaamua kufuta team.
Nasikia mmiliki wa SFG ameinunua Ihefu na ameamua kuitelekeza Singida kwa kuzidiwa na madeni na makatazi ya fifa kutosajili.
TFF chunguzeni hujuma hizi.
Singida FG wamefanya utapeli wa kusajili wachezaji na kutowalipa na kufuta team kimakusudi na huku wakimiliki team nyingine ndani ya league moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa wamemwa striker hatari Elvis Rupia na wangine.
Ndo kusema madeni yamewaandama wakaamua kufuta team.
Nasikia mmiliki wa SFG ameinunua Ihefu na ameamua kuitelekeza Singida kwa kuzidiwa na madeni na makatazi ya fifa kutosajili.
TFF chunguzeni hujuma hizi.
Singida FG wamefanya utapeli wa kusajili wachezaji na kutowalipa na kufuta team kimakusudi na huku wakimiliki team nyingine ndani ya league moja
Sent using Jamii Forums mobile app