Kama uko serious bc kuna shimo mwilini mwako halipo sawaYote haya alaumiwe sisiemu kwa kuruhusu uhuni kila sekta
Kweli kabisaYote haya alaumiwe sisiemu kwa kuruhusu uhuni kila sekta
Inawezekana ndiomana Thomas Ulimwengu alishtuka mapema tangu mwanzo wa msimuNaona washatoa thank you kwa wachezaji bora zaidi ya 13
Nimeshangaa wamemwa striker hatari Elvis Rupia na wangine
Ndo kusema madeni yamewaandama wakaamua kufuta team
Nasikia mmiliki wa SFG ameinunua Ihefu na ameamua kuitelekeza Singida kwa kuzidiwa na madeni na makatazi ya fifa kutosajili
TFF chunguzeni hujuma hizi
Singida FG wamefanya utapeli wa kusajili wachezaji na kutowalipa na kufuta team kimakusudi na huku wakimiliki team nyingine ndani ya league moja
Sent using Jamii Forums mobile app
nimecheka sana ngoja na msemaji wao Hussein Massanza nae aione hii ili ikiwezekana aweze kuitolea ufafanuzi zaidiNaona washatoa thank you kwa wachezaji bora zaidi ya 13
Nimeshangaa wamemwa striker hatari Elvis Rupia na wangine
Ndo kusema madeni yamewaandama wakaamua kufuta team
Nasikia mmiliki wa SFG ameinunua Ihefu na ameamua kuitelekeza Singida kwa kuzidiwa na madeni na makatazi ya fifa kutosajili
TFF chunguzeni hujuma hizi
Singida FG wamefanya utapeli wa kusajili wachezaji na kutowalipa na kufuta team kimakusudi na huku wakimiliki team nyingine ndani ya league moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kihasibu hapa kuna Transfer Pricing.Pia kumbuka FAHAD Mmiliki wa IHEFU,SALAH mmiliki wa SFG na GSM Mmiliki wa SNGD UTD hawa ni ndugu na wamekuwa pamoja,wanatuchezea tu
Sheikh adriz, uje huku haraka ujifunze kitu kipya kabisa cha kihasibu, kutoka kwa Mwasibu wetu nguli wa jamii forums.Kihasibu hapa kuna Transfer Pricing.
SFG wanafanya uhuni wa wazinimecheka sana ngoja na msemaji wao Hussein Massanza nae aione hii ili ikiwezekana aweze kuitolea ufafanuzi zaidi