Kunauwezekano Uchaguzi Usifanyike Kenya 26th October 2017

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Rose Akombe ambaye alikuwa mmoja wa watumishi wa tume ya uchaguzi Kenya amejiuzulu rasmi na amekimbilia Marekani na kudai kunauwezekano uchaguzi wa marudio kutofanyika Kenya tarehe 26th October kutokana kujitoa kwa mmoja wa wagombeaji Raila Odinga.
Mrs Akombe aliyekuwa ameenda kikazi Dubai kukagua uchapishaji wa karatasi za kupiga ameeleza ameamua kukimbilia Marekani kwa kuhofia maisha yake baada ya kupokea vitisho kutoka kwa baadhi ya wanasiasa Kenya
Akombe aliyekuwa msaidizi mkuu wa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Chebukati anahodhi uraia wa nchi mbili Kenya na USA.

sources: BBC
 
Let's play for our brother's and sisters in Kenya to get rid of trial...
 
Kujiuzulu kwa commissioner hakuizui iebc kendelea na kazi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…