T tanzaleo Member Joined Oct 27, 2017 Posts 56 Reaction score 86 Feb 14, 2020 #1 Habari za leo, Nahitaj kufaham ni mkoa gani naweza kupata Kunde nyeupe Kwa wingi na bei Kwa kilo ni kiasi gani. Ninahitaji tani 400. Asante. Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za leo, Nahitaj kufaham ni mkoa gani naweza kupata Kunde nyeupe Kwa wingi na bei Kwa kilo ni kiasi gani. Ninahitaji tani 400. Asante. Sent using Jamii Forums mobile app
K kapunika Member Joined Mar 10, 2015 Posts 18 Reaction score 25 Feb 14, 2020 #2 Check chanzo chako kama zinajulikana pia kwa jina la black eyed pea . vyovyote vile majira haya kwa uzoefu wangu mdogo si msimu wa mavuno ya kunde. Labda baada ya msimu wa mvua kwisha. namaanisha kiangazi.
Check chanzo chako kama zinajulikana pia kwa jina la black eyed pea . vyovyote vile majira haya kwa uzoefu wangu mdogo si msimu wa mavuno ya kunde. Labda baada ya msimu wa mvua kwisha. namaanisha kiangazi.
Masamila JF-Expert Member Joined Jun 22, 2014 Posts 6,490 Reaction score 7,422 Feb 17, 2020 #3 Hiyo quantity unayotaka sio mchezo Anyway kunde mikoa inayolima sana sana ni kanda ya kati yaani Dodoma,Singida na mikoa ya usukumani Ngoja nimwite mtaalamu mrangi aje akupe taarifa zaidi mi nimerashiarashia tu Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo quantity unayotaka sio mchezo Anyway kunde mikoa inayolima sana sana ni kanda ya kati yaani Dodoma,Singida na mikoa ya usukumani Ngoja nimwite mtaalamu mrangi aje akupe taarifa zaidi mi nimerashiarashia tu Sent using Jamii Forums mobile app
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,421 Reaction score 18,760 Feb 20, 2020 #4 Angalia manyara..... Sent using Jamii Forums mobile app