Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
WanaJF
Leo naomba tuzungumzie kidogo kundi la choka mbaya kwa walionza kusikiliza muziki wa bongo fleva miaka ya nyuma kidogo nazani watakuwa wanakumbuka kundi la choka Mbaya kwa haraka haraka nakumbuka lilikuwa likiundwa na kina Profesa Jay, Adili, Black Ryno na kina kipindi nazani hata Fid Q naye alikuwa Choka Mbaya (sina uhakika sana). Kwa sasa ukisikiliza nyimbo nyingi za profesa Jay mara nyingi utasikia neno "Amani kwa wanachoka"
1.Nataka msaada kidogo kwenu anayejua hasa members wote waliokuwa wanaunda kundi hili
2.Nataka kujua pia kama hili kundi bado lipo
3.Kwa anayeweza pia kuelezea hostoria ya hili kundi anaweza kutiririka
N:B kama umeanza kusikiliza mziki wa bongo fleva enzi diamond anahiti ni bora tu kuwa tu mfuatiliajo ili upate maarifa zaidi
Leo naomba tuzungumzie kidogo kundi la choka mbaya kwa walionza kusikiliza muziki wa bongo fleva miaka ya nyuma kidogo nazani watakuwa wanakumbuka kundi la choka Mbaya kwa haraka haraka nakumbuka lilikuwa likiundwa na kina Profesa Jay, Adili, Black Ryno na kina kipindi nazani hata Fid Q naye alikuwa Choka Mbaya (sina uhakika sana). Kwa sasa ukisikiliza nyimbo nyingi za profesa Jay mara nyingi utasikia neno "Amani kwa wanachoka"
1.Nataka msaada kidogo kwenu anayejua hasa members wote waliokuwa wanaunda kundi hili
2.Nataka kujua pia kama hili kundi bado lipo
3.Kwa anayeweza pia kuelezea hostoria ya hili kundi anaweza kutiririka
N:B kama umeanza kusikiliza mziki wa bongo fleva enzi diamond anahiti ni bora tu kuwa tu mfuatiliajo ili upate maarifa zaidi