CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Mu-hali gani wanajamvi??
Napenda kujua kundi la Makoma liliishia wapi? Wako wapi na
wanafanya nini??
Mkuu wapo na wanafanya nyimbo kama kawaida ingawa mmoja wao alikufa..
Mwaka jana mwishoni walitoa ngoma yao inaitwa EVOLUTION
Ni mdada....Cheza sana nyimbo zao enzi zangu za makuzialiofariki ni yupi!!!!!!!mdada au mkaka
Sijui wako wapi siku hizi.
nilikuwaga nampenda huyu Nathalie alikuwa Diva wa ukwee
............
Ni mdada....Cheza sana nyimbo zao enzi zangu za makuzi
Nakushukuru Mkuu BAK, ndio maan nakupenda kaka yangu!!
Niko poa Sis.....Ile ishu bado kupata solution... ila kuna moja nimeiweka under-probation huku nikipiga kisela..Naisikilizia niisome kwa mapana/marefu si unajua ukishangatwa na nyoka.Ouush kumbe yule White.........DAh.Uko poa my brother
lile swali la ...........umeshalipatia jibu!!!!!
Nilisikia hawa ni familia mojaa yaan ndugu
afadhali aisee maana kundi zi huyo bonge anaimba kwa kupayuka ndiyo namkubali sssana.Wabongo tunapenda kupotezana sana hakuna hata member aliyekufa kwenye kundi la makoma,hizo story nlizisikia zamani sana ila ni uongo mtupu.
~~~~~~~~~~~~~~~
Who is dead in makoma group?
Out of the six sibilings, none are dead.