Kundi la Wanafiki laibuka kutaka Ole Sabaya aonewe huruma

Mahakama ikishatoa hukumu, mtu pekee anayeweza kutoa msamaha ni Rais mbali ya rufaa.
 
Tunasubiria hukumu ya mkuu wa magaidi. Halafu watakatifu wa watakatifu tuone watakavyoipokea
 
Wanaweza kumfunga lakini hakuna ushahidi. Huwezi ukamkamata gaidi kisha ukamnunulia chakula gaidi na kukaa naye meza moja kula huku akiwa hana pingu.

Tunasubiria hukumu ya mkuu wa magaidi. Halafu watakatifu wa watakatifu tuone watakavyoipokea
 
Wanaweza kumfunga lakini hakuna ushahidi. Huwezi ukamkamata gaidi kisha ukamnunulia chakula gaidi na kukaa naye meza moja kula huku akiwa hana pingu.
Huo ndio ushahidi wa utakatifu wake!?
 
The more i read story za huyu sabaya naanza kuelewa kwa nini watu wengi wamefurahia sana kufungwa kwake , na nimeona clip moja lema akimuonya kwenye simu aache kuumiza watu kwa kujipendekeza, seems kadhulumu sana, kaua biashara za watu,kaumiza upinzani na inawezekana kaua watu huyu achunguzwe zaidi
 
Reactions: BAK
Anatakiwa alawitiwe huyu mshenzi mpk nnya iwe inadondoka yenyewe tu.Jinga Sana lile lofa.
 
Reactions: BAK
Hakika hii sio ccm ya Nyerere amini nawaambia.
Gharika na moto agano limekataa sijui ni nini kingefaa. Wema watataokokaje? Hebu kila aliyepata cheo huko ajiohoji kama alichokipata ni halali.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Afrika Nafasi ya usaidizi katika dola haikupi nafasi ya kumpinga bosi wako hata tu kwa kujiuzulu. Hatuwezi kuwahukumu kwa nafasi hizo na hii inathibitishwa na baada ya bosi kuondoka.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Yaa nikweli kabisa,tumeshafunga ukurasa wake sasa,hukumu tayari.
Ni mda wa kusubiri kesi ya Ugaidi,tuone mwisho wake. Baada ya hukumu ya Ugaidi tutarudi hapa tena kuwatafuta wanaounga mkono na wanaopinga.
 
Huyu anayemtetea SABAYA atakuwa makonda au Hapi, haiwezekani huyo mpumbavu aliyejiona mungu wa dunia hii,sabaya hakutenda haki,miaka 30 haikutosha,huyu alipaswa kuuwa na akipunguziwa adhabu afungwe maisha.
 
Mwendazake aliteua majambazi kuwa viongozi katika utawala wake halafu kuna baadhi ya watu bado wanaamini kwamba jamaa alikua shujaa wa Afrika.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…