Kundi lateua Wajumbe wa Bunge wa Katiba

Kundi lateua Wajumbe wa Bunge wa Katiba

KITANGE

Senior Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
138
Reaction score
42
Wana Jf,
Kuna tetesi kuwa kati ya makundi yenye malengo yanayofanana limekutana hivi karibuni na kuteua majina ya wajumbe wa Bunge la Katiba.
Kituko kilichojitokeza ni majina ya WAKE pamoja na Jamaa wa kundi hilo kuwa miongoni mwa majina yaliyopelekwa IKULU kwa uteuzi. Kumbe mategemeo yetu kuwa na Bunge zuri yanaweza kuwa kinyume kabisa na matarajio yetu wananchi.
Ni dhahiri kundi limeweka ubinafsi badala ya WELEDI, Walioko kwenye uteuzi kuweni makini kumsaidia Raisi apate majina bora siyo bora majina.
 
Mkuu ungeweka angalau jina la hayo makundi,usiwe mwoga sana tutashindwa kuchangia
 
Wana Jf,
Kuna tetesi kuwa kati ya makundi yenye malengo yanayofanana limekutana hivi karibuni na kuteua majina ya wajumbe wa Bunge la Katiba.
Kituko kilichojitokeza ni majina ya WAKE pamoja na Jamaa wa kundi hilo kuwa miongoni mwa majina yaliyopelekwa IKULU kwa uteuzi. Kumbe mategemeo yetu kuwa na Bunge zuri yanaweza kuwa kinyume kabisa na matarajio yetu wananchi.
Ni dhahiri kundi limeweka ubinafsi badala ya WELEDI, Walioko kwenye uteuzi kuweni makini kumsaidia Raisi apate majina bora siyo bora majina.
Ungejua ni vigezo gani vinavyoangaliwa na hao unaowataka wamsaidie Rais
kuwapata Wajumbe wa Bunge la Katiba wala usingejisumbua kujadili suala hili...
 
hapo maslahi yataangaliwa sana, posho laki 3 kwa siku 70! sio mchezo ndugu yangy, hata kwa Kalumanzila nitaenda
 
Back
Top Bottom