mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,171
Mizenguo inapunguza mapenzi hata kama yapo kiasi gani..sasa hivi hayupo moyoni ..siwezi jilazimisha..unless nitakua namdangaya..sitaki mpotezea muda wake bure...
..unamtamkia mara kibao..jamani tuachane lakini yeye analilia kila siku..
ni ukichaa....tena kaa nae mbali....anaweza kukung'ata mwehu huyo.....