Hahaha [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]naona serikali ingeruhusu watu wafuge baadhi ya wanyama wa porini ingekuwa poa sana. aina za nyama zingeongezeka na kipato kuongezeka. tungeongeza pesa za kigeni maana tungekuwa tunatoa nyama unique.
naomba serikali ifikirie na kuandaa mpango ili watu tuweze kufuga swala, nyumbu, kongoni, digidigi nk.
pia uzoefu unaonyesha kuwa wanyama wakifugwa si rahisi kutoweka. kuku, ng'ombe, mbuzi nk, ni wengi sana sababu wanaafugwa. hilo litatokea kwa Kongoni na Mbarapi iwapo tutawafuga. huoni kware walivyoongezeka kwa kasi? pia naamini kanga wasingekuwa domesticated leo hii wangekuwa wametoweka au wanakaribia kutoweka. kuwafuga ni njia ya kuwalinda.Ngoja nitafakari zaidi nahisi sijaelewa.
tena itakuwa poa iwapo hivyo vibali viwe bure au mfugaji apate ruzuku kidogo. maana kuwafuga ni sehemu ya kuwalinda.unaweza ukafuga mbuni na inaruhusiwa kwa kupata kibali.... Ostrich farming .... yai moja la mbuni lafikia hadi US$480
Mbona huombi jukumu la Kulinda Faru na Tembopia uzoefu unaonyesha kuwa wanyama wakifugwa si rahisi kutoweka. kuku, ng'ombe, mbuzi nk, ni wengi sana sababu wanaafugwa. hilo litatokea kwa Kongoni na Mbarapi iwapo tutawafuga. huoni kware walivyoongezeka kwa kasi? pia naamini kanga wasingekuwa domesticated leo hii wangekuwa wametoweka au wanakaribia kutoweka. kuwafuga ni njia ya kuwalinda.
itakuwa ni safari mkuu!Mkuu hili wazo ni baada ya kupiga safari au Kilimanjaro?