Kungu zina 'effects' gani kwenye macho?

Kungu zina 'effects' gani kwenye macho?

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,728
Poleni na heka heka za siasa.

Sasa tukirudi kwenye mada zetu zisizohusiana na siasa, ningependa kujua kuwa kungu zina effects gani kwenye macho. Ninachojua mboga za majani na carrots zinaongeza vitamin A kwenye macho na kusaidia kuongeza uwezo wa kuona. Lakini sasa utakuta mdada anasifiwa kuwa ana jicho kama vile amekula kungu, kisa tu jicho ni la kurembua rembua, huwa nashindwa kupata connection iliyopo katika macho yenye mvuto na matunda aina ya Kungu! Mwenye utaalam zaidi naomba anijuze!
 
Ngoja watu wa Lumumba watakuja kukujibu...
 
Yaulize ma ccm ndio yanajua kulegeza macho.

Swissme


KAMA HIVI EEEH



jk13.JPG





joyce-kiria-1.jpg
 
Mleta mada embu jaribu kula Kungu halafu jipige picha uweke hapa ili tuthibitishe hayo unayoongea.
 
Back
Top Bottom