Kunguni challenge earn 50 million utaweza

Kunguni challenge earn 50 million utaweza

October man

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
3,635
Reaction score
5,012
Jamani tuwe serious Kwanzaa, wanaletwa kunguni wamejaa kwenye jaba tano(5) wanamwagwa chumbani alafu unaambiwa ulale humo mwaka mzima kila baada ya Week wanakuja kumwaga Jaba nyengine tano(5) ukiweza kulala kwa miaka miwili bila shuka unapewa Million 200 unaweza kufanya hivyo.
 
Huyu
IMG_20190930_110723.jpeg
 
Hahaa mi naweza ila makesure kuwe na drip za damu ,na konyagi za kutosha mwaka mzima
 
Asikwambie mtu even siku mbili huwezi hata km shida zimekufika had kichwani. Kunguni sio kitu cha mchezox2
Jamani tuwe serious Kwanzaa, wanaletwa kunguni wamejaa kwenye jaba tano(5) wanamwagwa chumbani alafu unaambiwa ulale humo mwaka mzima kila baada ya Week wanakuja kumwaga Jaba nyengine tano(5) ukiweza kulala kwa miaka miwili bila shuka unapewa Million 200 unaweza kufanya hivyo.
 
Asikwambie mtu even siku mbili huwezi hata km shida zimekufika had kichwani. Kunguni sio kitu cha mchezox2
Yani siku mbili nyingi hivyo alafu ni majaba matano wololo yaye hulali hata sekunde moja maana watakufanya chafu
 
Hivi ni ngumu kuingiza 50ml kwa mwaka hadi ung'atwe na mbu mwaka?
Hizi ndoto fukarishi mkuu
Jamani tuwe serious Kwanzaa, wanaletwa kunguni wamejaa kwenye jaba tano(5) wanamwagwa chumbani alafu unaambiwa ulale humo mwaka mzima kila baada ya Week wanakuja kumwaga Jaba nyengine tano(5) ukiweza kulala kwa miaka miwili bila shuka unapewa Million 200 unaweza kufanya hivyo.
 
Unajipaka mafuta ya taa then unalala fresh tu.
 
Jamani tuwe serious Kwanzaa, wanaletwa kunguni wamejaa kwenye jaba tano(5) wanamwagwa chumbani alafu unaambiwa ulale humo mwaka mzima kila baada ya Week wanakuja kumwaga Jaba nyengine tano(5) ukiweza kulala kwa miaka miwili bila shuka unapewa Million 200 unaweza kufanya hivyo.
Miaka minne itakuwa bei gani?
 
Kunguni kumi tu nilale nao week siwezi ndo iwe majaba ma 5
 
Mimi hata kunguni mia mbili silali heri nife maskini kuliko Mateso ya kunguni. Kunguni mmoja anaweza akakesha ananyonya sembuse kunguni Jiaba tano ? Kunguni kila akishiba anakojoa anaanza upya hapana siwezi.
Jamani tuwe serious Kwanzaa, wanaletwa kunguni wamejaa kwenye jaba tano(5) wanamwagwa chumbani alafu unaambiwa ulale humo mwaka mzima kila baada ya Week wanakuja kumwaga Jaba nyengine tano(5) ukiweza kulala kwa miaka miwili bila shuka unapewa Million 200 unaweza kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom