Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha lazima yatokane na maisha. Uchafu unachochea kuzaliana kwa wadudu tu, ila muingiliano wa watu kama vyombo vya usafiri, guest house, wageni nyumbani ndio unasababisha wadudu watapakae.Labda wanasababishwa na uchafu [emoji849][emoji849]
Swali la msingi wanatokea wapi?Kunguni anapenda Sana giza, haijalishi uchafu wa sehemu husika ye anaweka tu kambi hata kusafi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kunguni wanasababishwa na uchafu mfano chumba changu Ni kisafi lakini kulikuwa na kunguni pia nakumbuka nilienda kwenye Easter comference kwenye shule ya Kisarawe nililala chumba kilikuwa kisafi lakini kilikuwa na kunguni.uchafu, maisha yangu yote sikuwahi kumuona kunguni mpaka nilipofika high school nikaenda shule fulani watu walikuwa wachafu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mabinti ni wa wapi?Nadhani wanaongoza kwa uchafu. Ila usafi wa nje wako vizuri.
Nilienda sehemu fulani kukagua vyoo wa mabinti, hali ilikuwa tete aiseee.
Hivyo vyoo vilikuwa vya public ?Nadhani wanaongoza kwa uchafu. Ila usafi wa nje wako vizuri.
Nilienda sehemu fulani kukagua vyoo wa mabinti, hali ilikuwa tete aiseee.
Ni shule ya Advanced LevelHao mabinti ni wa wapi??
Nadhani utakuwa hujawahi kuingia vyumba vyao mkuu.
Vya mabinti tuuuuHivyo vyoo vilikuwa vya public ?
Nilimaanisha kuwa hivyo vyoo wanatumia watu wengi au lah. Kama ni choo cha namna hiyo lazima viwe vichafu sababu tunatofautiana katika suala zima la hygiene.Vya mabinti tuuuu
Kama walikua girls tu probably inawezekana...lakini ukifananisha na wanaume aiseeh sisi tukiwa shuleni tuko rough sana.Ni shule ya Advanced Level