Samahani mkuu Smart, utakuwa umechanganya kidogo, engine iki "seize" ndo haiwaki lakini knock huwa engine inawaka ila inakuwa inagonga .Kupoteza nguvu kwa gari wala siyo Engine ku-Knock...
Engine kun-knock ni kwamba kuna piston/mikono zimepinda na engine haitoweza hata kuwaka...
Kubadilisha ring piston peke yake haitoshi, rudi kwa fundi akuchekie pia piston kama zipo vizuri na sleeve zake...
Cc: mahondaw