KUNRADHI: Kuhairishwa kwa Mjadala XSpaces

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Habari Mwana JF,

JamiiForums inautaarifu Umma kuwa kutokana na tatizo la kukosekana kwa Intaneti, Mjadala uliopangwa kufanyika leo Mei 13, 2024 kupitia X Spaces umeahirishwa hadi wakati mwingine itakapotangazwa tena.

Tunaomba Radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
 
Back
Top Bottom