Don't try, wengi wamelizwa vibaya sana, please don't try, don't try to do this. Kama ni vya gharama tumia letter of credit through bank and not Mastercard, Visa card etc ukitumia Mastercard inamaana wanabaki na kumbukumbu uko watakwangua pesa yote.Habari zenu watu wa Mungu. Sijawai kukwama Jf kwa majibu ya msaada. Nimeona bidhaa online huko china. (Villa store). Muuzaj anataka malipo kwa mastercard. Sion insurance ya malipo. Mwenye namna ya kulipa kwa aman anisaidie. au mwenye wakala wa huduma kama hizi Tanzania aniunge nitalipa fee.Ni usd 88 tu hivi.
Nashukuru kwa taadhar. Nilishagundua watu wengi huwa tunapigwa kwa ujuaji wetu. Na hili la wao kukomba akaunt yangu ni moja. Lakin vipi tiba ya kuwa na akaunt maalum ya kufanyia malipo na kuibakisha empty. Mi zaid nawazia pale umeshawalipa unajiridhishaje delivery itafanyika? Je unapimaje uaminifu wa muuzaj na kampun yake.Don't try, wengi wamelizwa vibaya sana, please don't try, don't try to do this. Kama ni vya gharama tumia letter of credit through bank and not Mastercard, Visa card etc ukitumia Mastercard inamaana wanabaki na kumbukumbu uko watakwangua pesa yote.
Mcheki Mwl.RCT atakusaidiaNashukuru kwa taadhar. Nilishagundua watu wengi huwa tunapigwa kwa ujuaji wetu. Na hili la wao kukomba akaunt yangu ni moja. Lakin vipi tiba ya kuwa na akaunt maalum ya kufanyia malipo na kuibakisha empty. Mi zaid nawazia pale umeshawalipa unajiridhishaje delivery itafanyika? Je unapimaje uaminifu wa muuzaj na kampun yake.
It depends na website. Mi nimenunua sana kupitia Alibaba, Ali Express so far sijaona tatizo lolote.Habari zenu watu wa Mungu. Sijawai kukwama Jf kwa majibu ya msaada. Nimeona bidhaa online huko china. (Villa store). Muuzaj anataka malipo kwa mastercard. Sion insurance ya malipo. Mwenye namna ya kulipa kwa aman anisaidie. au mwenye wakala wa huduma kama hizi Tanzania aniunge nitalipa fee.Ni usd 88 tu hivi.
na nimetumia card ya CRDB ( master card)It depends na website. Mi nimenunua sana kupitia Alibaba, Ali Express so far sijaona tatizo lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo mitandao ulotaja kweli inaaminika na zaid mfumo wa malipo una security ya pesa kama paypal. Tatizo ni bei zao na inategemea bidhaa unayotaka umekumbana nayo mtandao gani, yawezekana ni nje ya hizi credible. Mf mi bidhaa nimekutana nayo VILLASTOREIt depends na website. Mi nimenunua sana kupitia Alibaba, Ali Express so far sijaona tatizo lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app
- Nitumie PM link ya bidhaa husikaMi zaid nawazia pale umeshawalipa unajiridhishaje delivery itafanyika? Je unapimaje uaminifu wa muuzaj na kampun yake.