Kununua Condoms duka la mtaani kwenu ni aibu sana.

Hela ni mali yangu nimeitafuta kwa jasho halafu kwenye manunuzi nije nimuogope mtu?

Kitu ambacho sijabarikiwa kuwa nacho ni aibu..
 
Hela ni mali yangu nimeitafuta kwa jasho halafu kwenye manunuzi nije nimuogope mtu?

Kitu ambacho sijabarikiwa kuwa nacho ni aibu..
Hahaha mkuu kuna wakati aibu inakuja automatically
 
Kuna mdada aliwahi kunikuta nanunua kondomu alishangaa sana alikuwa hajawai ona mtu ananunua ndomu ilitufanya tuwe partner bahati mbaya walirudigi nchini kwao hakuwa mtanzania
 
Kuna mdada aliwahi kunikuta nanunua kondomu alishangaa sana alikuwa hajawai ona mtu ananunua ndomu ilitufanya tuwe partner bahati mbaya walirudigi nchini kwao hakuwa mtanzania
Next time ulienda kununua mkatumia wote hope so!
 
Utanunuaje condom duka LA jiran ?mim binafisi sipend mtu anichole kiivyo
 
Utanunuaje condom duka LA jiran ?mim binafisi sipend mtu anichole kiivyo
Condom s sabuni ununue ikiisha ni kitu unanunua once umepata pa kutumia so inatokea tu umepata kazi na huwez enda kariakoo kununua mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…