Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Hapana mkuu mm si wa type hiyo, vigoli kibao why nitoke na mama kama mama yangu.
[emoji16][emoji16][emoji16]mkuu ukipiga fasta ndio maradhi hayakupati
Hahaha ndo hivyo mkuu tulitumia kidogo baada ya kucheck afya kikawa kitu nyama nyamaNext time ulienda kununua mkatumia wote hope so!
Duh! Hapo sasaIpi norma zaidi foleni kwenye kitengo au kununua condoms?