Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Niko serious..acha kubisha..huo ni mkopo wa miaka 6 kama alivyosema hapo..mkopo wa mwaka mmoja ni kwa ajili ya wafanyabiashara..na ndio maana nimemshauri achukue huo wa biashara. Mkopo wa watumishi ukiungalia kwa macho ya kawaida unauona nafuu lakini sio..ni wizi mkubwa.mhh hizi hesabu za bank gani bro??[emoji2298][emoji2298][emoji2298]
milioni 20 makato laki 9,kwa miezi 72!!!!serious
ukikatwa laki 9 maana yake mkopo ndani ya miezi 28 tu umekwisha mpaka riba.
Uko sahihi..huo mstari uliomalizia kuna mtu amenibishia hapo juu.Chukua 15M ingiza yote kwenye hio biashara yako ya awali, Ustapanye hela baada ya mwaka utakua na uwezo wa kununua gari na mkopo utakua umeurejesha wote.Kumbuka jinsi mkopo unavyochukua muda mrefu kurejesha ndivyo na riba yake inavyokua iko juu.
Niko serious..acha kubisha..huo ni mkopo wa miaka 6 kama alivyosema hapo..mkopo wa mwaka mmoja ni kwa ajili ya wafanyabiashara..na ndio maana nimemshauri achukue huo wa biashara. Mkopo wa watumishi ukiungalia kwa macho ya kawaida unauona nafuu lakini sio..ni wizi mkubwa.
Uko sahihi..huo mstari uliomalizia kuna mtu amenibishia hapo juu.
Dah...Acha ujinga...nyumba uijenge kwa mkopo wa miaka 6? Chukua pesa kidogo hapo...kale maisha kwanza...akili ikae vizuri..Raha jipe mwenyewe... Kisha ukirudi chukua calculator....Chukua mkopo kisha gawanya kwa kiasi ulichokula maisha ...utapata idadi ya siku zilizobaki kula maisha....halafu chukua hizo siku ...gawanya kwa 365 kisha gawanya tena kwa 6 kisha zidisha kwa 100...utapata asilimia ya siku za kula maisha ndani ya miaka 6 ijayo...namba hazidanganyi ,,[emoji2960][emoji482]Habari zenu wana jamii forum
I think this is right place ambapo naweza kupata ushauri yakinifu from great thinkers
Mimi ni mdada naombeni ushauri wenu wapambanaji wenzangu ambao mmeshapiga hatua za kimaisha
Nahitaji kukopa Milioni ishirini kutoka kwenye mshahara wangu nishaenda kwa afisa wa mikopo na amesema inawezekana kupewa kiasi hicho, pia nimeongea na afisa mikopo ya biashara kulingana na size ya biashara yangu nimeambiw naweza kupewa milion kumi though naweza kubembeleza ikafika kumi na tano ambayo inarudishwa ndani ya mwaka mmoja tu, while mkopo wa mtumishi ni miaka 6
So nina option mbili nikope million 15 nirudishe ndani ya mwaka mmoja au milion 20 ndani ya miaka 6
Sitaki kufanya maamuzi ya hasara naombeni ushauri yakinifu
Moja nikope mkopo upi kati ya biashara au mkopo wa mtumishi
Je, kitu gani nikifanyia na huu mkopo ili nisipate hasara
Nina biashara ambayo ina mtaji kama wa milion 15hivi naweza sema bado haijasimama vizuri mana ina mahitaji mengi
Au nijenge nyumba nipangishe, hapa napoishi bado kuna eneo kubwa tu ambalo naweza kujenga nyumba au vyumba kadhaa na nikapangisha
Au ninunue gari, usafiri wangu ni boda boda kwenda kazini na mizunguko yote tu ya hapa na pale nakodi boda au napanda daladala, je nitakuwa sahihi kununua gari na hela ya mkopo??
Naombeni ushauri tafadhali kipi nifanye kati ya hivyo vitatu
Asanteni kama mtanishauri positively
Yaani nimesoma huku nacheka....hhahahahaha.....ww akili yako unaijua mwenyeweπ€£π€£π€£Dah...Acha ujinga...nyumba uijenge kwa mkopo wa miaka 6? Chukua pesa kidogo hapo...kale maisha kwanza...akili ikae vizuri..Raha jipe mwenyewe... Kisha ukirudi chukua calculator....Chukua mkopo kisha gawanya kwa kiasi ulichokula maisha ...utapata idadi ya siku zilizobaki kula maisha....halafu chukua hizo siku ...gawanya kwa 365 kisha gawanya tena kwa 6 kisha zidisha kwa 100...utapata asilimia ya siku za kula maisha ndani ya miaka 6 ijayo...namba hazidanganyi ,,[emoji2960][emoji482]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui hesabu kabisa bro. Watu wanalilia mikopo ya biashara ya muda mfupi wewe unamshauri akope salaried loan, mkopo wa mshahara hio mil 20 atarudisha si chini ya mil 50.Fanya kukopa huo wa kurudisha ndani ya miaka 6.
Cha muhimu usinunue gari kwa hiyo hela ya mkopo bali ifanyie biashara ikikulipa ndio utanunua gari huko mbele.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Ni kweli bro ndio maana nimesema mimi sio mtaalamu wa hayo mambo na nafurahi mtaalamu umefafanua. Vizuri. πHujui hesabu kabisa bro. Watu wanalilia mikopo ya biashara ya muda mfupi wewe unamshauri akope salaried loan, mkopo wa mshahara hio mil 20 atarudisha si chini ya mil 50.
Mimi najua wewe mleta uzi unataka vyote. Unataka biashara nyingine na unataka gari. Sasa maisha ni mafupi sana ipe roho yako raha ukingali hai lakini kwa hesabu kali sana.
Kwakuwa una biashara inayofikia mil 15 tayari hii inakuinguzia kipato bila shaka. Bado mshahara una maana upo wa kutosha haujakopewa. Chukua mil 15 ya mkopo wa biashara ila hii hauwezi kujenga utafeli labda kama unajenga kupangisha nyumba simple sana, itatosha. Yan unalenga vyumba vya kupangisha elfu 50, then vyumba simple hio mil 15 utapata vyumba viwili self-contained. (Nakwambia nilichowahi fanya) sioti.
Lakini waweza tafta biashara nyingine tu kwa hiyo mil 15, ukawekeza mil 10. Alafu mil 5 ukanunua gari ili uwe navyo vyote. Siku hizi mil 5 kupata gari ni kawaida sana.
Lakini kuhusu gari kuna makampuni saizi unatoa nusu, wanakupa toka japan nusu unamaliza taratibu mwaka mzima. Lakini njia hii ya pili itakutesa maana utakuwa na mikopo miwili. Japo malipo ya gari waweza kuyabebesha kwenye mshahara.
Makato hayafiki laki9 kwa 20mChukua huo mfupi wa biashara..huo wa miaka mingi unawatengenezea faida benki. Kivipi? kwa hizo milioni ishirini makato kwa mwezi sio chini ya laki 9,haya piga hizo laki tisa mara miezi 72 ni zaidi ya milioni 60 kwa mkopo wa milioni 20.
Haya,za kuambiwa....
Hahahahah mkopo wa sheli na garage na mkopo wa ofisini!Yaani wewe Ayos ndo chizi kabisa, yaani atakuwa na mikopo miwili [emoji3], kama mikopo ya maji, hahahahah, nimeipenda hiyo.
πππππDah...Acha ujinga...nyumba uijenge kwa mkopo wa miaka 6? Chukua pesa kidogo hapo...kale maisha kwanza...akili ikae vizuri..Raha jipe mwenyewe... Kisha ukirudi chukua calculator....Chukua mkopo kisha gawanya kwa kiasi ulichokula maisha ...utapata idadi ya siku zilizobaki kula maisha....halafu chukua hizo siku ...gawanya kwa 365 kisha gawanya tena kwa 6 kisha zidisha kwa 100...utapata asilimia ya siku za kula maisha ndani ya miaka 6 ijayo...namba hazidanganyi ,,[emoji2960][emoji482]
Sent using Jamii Forums mobile app