Kununua Kiwanja au kuanzisha mradi

Kununua Kiwanja au kuanzisha mradi

Old Moshi

Senior Member
Joined
Jul 31, 2011
Posts
118
Reaction score
32
Habari wakuu. Naombeni ushauri ktk hili

Nina options mbili, either kununua kiwanja au kufungua mradi kidogo miezi michache ijayo. Vyote ni vya muhimu na siwezi kuvifanya kwa pamoja maana resources hazitatosha. Nawaza thamani ya ardhi inazidi kupanda naweza kuingia gharama kubwa nikinunua mwaka ujao baada ya biashara kukua. Na what if biashara isipokua maana si unajua tena changamoto za biashara change.
Naombeni ushauri wadau maana nipo njia panda.
 
Mkuu, mbona kwenye maelezo yako mwenyewe tayari umejijibu! Au ulikuwa unahitaji wanajamii waconfirm ?

Habari wakuu. Naombeni ushauri ktk hili

Nina options mbili, either kununua kiwanja au kufungua mradi kidogo miezi michache ijayo. Vyote ni vya muhimu na siwezi kuvifanya kwa pamoja maana resources hazitatosha. Nawaza thamani ya ardhi inazidi kupanda naweza kuingia gharama kubwa nikinunua mwaka ujao baada ya biashara kukua. Na what if biashara isipokua maana si unajua tena changamoto za biashara change.
Naombeni ushauri wadau maana nipo njia panda.
 
Hayo ni mawazo yangu. Nahitaji na nyie mnishauri kwa kutokana na uzoefu wenu
 
Mkuu kama tayari unabiashara na inakulipa vizuri ni bora hiyo hela uitumie kuongeza mtaji na mwisho wa siku utanunua hicho kiwanja na biashara yako itaendelea vizuri. lakini kama bado hujaanza biashara sikushauri ukafungue biashara coz mambo haya usipojipanga nayo vizuri unaweza kukosa kiwanja,hela na biashara kwa ujumla. ni ushauri tu ila hekima lazima itumike. Old Moshi
AHSANTE..
 
Last edited by a moderator:
Asanteni kwa ushauri wenu wakuu.I think Ishould go for land then
 
Tusiogope kufeli kwenye Biashara maana ndio Njia ya kujifunza. Kwanza kwanini uwe na fikira za kufeli? Kwanini usiwe positive ukajipanga kuhakikisha hautofeli?

Kama Unajua biashara unayotaka kufanya vema na umesha fanya research kujua Namna ya kuendesha na kupata masoko mimi Nakushauri anza biashara japo kwa mtaji mdogo.
 
Nunua ardhi then jipange tena uanze biashara kwa ajili ya kujenga, ardhi inapanda bei kila kukicha tena bei mbaya, utakapo fanya bishara, then ukafanikiwa ukitaka kununua ardhi haitakuwa sehemu ile ambayo unaweza nunua kwa sasa.
 
Back
Top Bottom