Wana-JF,
ninaomba ushauri juu ya hii biashara ya kununua mpunga na kuhifadhi. Inalipa bado? Kuna wakati ilikuwa dili. Kwa sasa ninaweza kupata kamtaji angalau kuanza lakini sina hakika. Mwaka jana naskia watu wamekula hasara na michele ya nje. Ushari tafadhali. Nitashukuru.