Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,727
Kwa manung'uniko hayo usiku wa manane kama huu, naamini kuna tukio limetokea si muda. pole sana ila inauma sana duuh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe acha tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna kifungu kinachomhukumu. Ukimlazimisha lakini kuna kifungu kinakuhumu wewe kwa kumbaka hata kama ni mkeo (marital rape).
Sheria inamlinda mwanamke zaidi mkuu.This isn't fair at all, right of equality must be observed from each other.
Sent from my iPhone using JamiiForums
1=m'ke mgonjwa,amechoka,mligombana,umetoka/ametoka kwa mchepuko,
2=m'me umelewa,si msafi(hujaoga_kikwapa),unanuka mdomo(hujapiga mswaki,sigara),unalazimisha bila maandalizi
3=wewe ni mario,unamtegemea mazima kiuchumi,huna ujanja,anakufuga
4=ongezea mengine. Dawa ya mwanamke mkorofi ni mwanamke mwingine; huna spea
Sheria inamlinda mwanamke zaidi mkuu.
Sheria inamlinda mwanamke zaidi mkuu.
Vipi kwa legal system ya bongo mke anabakwa????. Na Kama unaweza kumbaka Ni kifungu Cha Sheria gani kime establish ilo???Hakuna kifungu kinachomhukumu. Ukimlazimisha lakini kuna kifungu kinakuhumu wewe kwa kumbaka hata kama ni mkeo (marital rape).
Zipo sheria Zinazomlinda mwanamke akiwa na dharura lkn km kaolewa then hampi mwenzie haki yake bila ya sbb ya msingi apo cdhan km Kuna sheria itakayokua inamlindaSheria inamlinda mwanamke zaidi mkuu.
Kibongo bongo haipo maana sheria inasema by virtue of paying bride prices mume ana haki ya kupewa unlimited sex mda wowote 😅😅Vipi kwa legal system ya bongo mke anabakwa????. Na Kama unaweza kumbaka Ni kifungu Cha Sheria gani kime establish ilo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea sasa nyumba zenyewe wanaume kujenga wenyewe hawawezi hadi mjichange wote atakufukuzaje? Kama si yamwanaume je?Kuna mbunge mmoja nchi za nje alisema kesi hizi zimezidi na zinapoteza mda. Kama mwanamke hataki kutoa tunda basi harudi kwa wazazi wake au aondoke kwenye nyumba
Wana MMU habari
Nataka kujua kisheria hii imekaaje inapo tokea mwana mme kunyimwa papuchi ndani ya ndoa..
Je, kuna kifungu chochote kina muhukumu mwanamke kwa ishu hiyo??
Naombani majibu ya kisheria
]Kama kuna migogoro inayosababishwa na wewe anzisha mazungumzo muimalize. Kama ana malalamiko yake ya muda mrefu msikilize muyamalize wanawake akikwazika rohoni kufanya tendo ni kama adhabu hatupati hamu.
Kingine vumilia ndoa zina mitihani wakati unalalamika hupewi kuna wanawake karibia 80% hawapewi wa waume zao wakaridhika kisa baba nguvu ndogo, hana muda anawaza kubeti na mikeka yake. Siku akitaka anarukia kama jogooo wakati unashangaa baba vipi keshamaliza anasinzia unabaki unamshangaa kimwili na kiroho.
Kabisa!!