hakuna matata2
Member
- Sep 25, 2021
- 23
- 22
Anko weka picha tuone 😀Zinaota kwa kusimama,kulalia chini au kulalia juu? Kama utanyoa tumia mkasi wa kawaida.
Weka kapicha ili nikushauri vizuri,mimi mwenyewe ni mhanga
Naomba kuuliza kuna madhara ya kunyoa nywele za kifuani na kitovuni au tumboni maarufu kama garden love? Maana naona zinanizidi kiwango na zinakua ndefu unajua nywele singa yani zinakuwa ndefu. Naonaga noma ikitokea kuwa kifua wazi mbele ya demu au mademu.
Ni zaidi ya Amazon[emoji23][emoji23][emoji23]Anko weka picha tuone [emoji3]