Mmmmh! Mbona niliona na wengine wananyolea hadi nywele kipara...Labda kwa vile amavubi ni jamii ya nywele tu; ila ziko kiwanja kingine mi nadhani ni poa tu kutumia magic pia!HIYO NI DAWA YA KUNYOA NDEVU,and nothing else
Habari zenu wapendwa.
Napenda kufahamu hivi ukinyoa sehem za siri hasa kwa wanaume je hakuna madhara ukitumia magic powder? Mimi napenda kutumia hii dawa kunyolea sehem za siri ila nina mashaka kuwa inaleta upungufu kwenye nguvu za kiume kutokana na ufanyaji kazi wa hii dawa.
Kwa anayejua vizuri content ya hiyo dawa na kama haina madhara, ufafanuzi tafadhali