Kunyonya denda huwezi kupata UKIMWI, iweje uweze kupimwa UKIMWI kwa mate?

...........Nakwanini ujipime wakati huumwi?utakuwa unatafuta nini?

Subiri mpaka ukianza kuumwa ndo utakapopimwa mbele kwa mbele maana ukimwi siyo malaria hii ni kitu ya hatari sana hutakiwi hata nafsini mwako kuihisi unao sembuse kujua!
Mambo mengine tunajitafutiaga tu... Huumwi unaenda kupima nini sasa... Mtu asubiri akiona dalili ndio aende akapime
 
Hill jambo hata Mimi linanichanganya sana wataalamu mpo wapi mtufahamishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…