Wanajamii tafadhali naomba msaada wenu kwa habari hii ya wapenzi kunyonyana sehemu zao za siri kuna madhara gani hasa? Inawezekana swali hili lishawahi kuulizwa lakini mjue watu wanazaliwa kila leo, hivyo mambo haya kila siku yanakuwepo na wanaofika rika hizo wanakabiliana. Sasa mimi kwa kuona wapo wanajamii wenye uzoefu ebu nisiingie huko bila kufahamu. Tafadhali naomba kwa nia njema kabisa nieleweshwe, japo sikatai ushauri wa ovyo maana kwenye jukwwaa hili bwana wengine zimepitiliza hakuna jinsi naamini ule ushauri mzuri nitajaariwa kuupata.