Kunyonya uume

Majibu tayari nimewawekea hapa mtu akitaka kunyonywa mkund.u nimeweka faida zake.
Nduka jinsi unavyotoa ushauri hapa unashabihiana na jina lako aisee we jamaa, umela -nduka ngapi leo?
 
Last edited by a moderator:
Hii nayo news alert Fang?
 
Last edited by a moderator:
Naona unawaita wanachama wa suck organization uuhh ? Kansa ya koo mjiandae si umemsoma mdau hapo juu?
mlete mkweo tuanze naye!! atakuja kukuhadithia, jiheshimu mara mojamoja!
 
haya mambo ya kunyonyana na kulambana lambana vinahitaji usafi wa hali ya juu na uaminifu mkubwa vinginevyo miili yetu midomo yetu imejaa magonjwa mengi sana na mnyonyaji ama mlambaji anaweza kujizolea magonjwa mengi ambayo anaweza kuyaona kwa haraka au akaja kuyaona badae.

wengine hata midomo kusafishwa ni shida we unaparamia mabusu ya ndimi ni yaleyale kama ya kule chini tu.
tuwe waaminifu na wasafi saa zote.
kuoga vizuri kila siku haswa kabla ya matendo hayo ni jambo jema. na kusafisha mdomo kwa usahihi kutasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…