Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uelewa wangu, VVU mtu anaambukizwa pale majimaji yenye VVU yanapomtoka mmoja na kuingia mwilini kwa mwingine. Hili likitokea, mwenye navyo atamuambukiza asiyenavyohivi kuna uwezekano wa kupata vvu kutokana na kunyonywa uume msaada plz
Kama una mchubuko ndo njia ya wale wadudu.
Copy Baba V
usome mwenyewe,
unaona MziziMkavu anasema ya moyoni mwake,
so Baba V take your time.
MziziMkavu umeifanya siku yangu
najua nitakuwa wa kwanza na mwenye bahati sana
kwenye hili jukwaa kuambiwa haya maneno matamu na wewe.
Asante.
Na wewe mjuzi wa hizi makitu ee!
hivi kuna uwezekano wa kupata vvu kutokana na kunyonywa uume msaada plz
Hivi ni kwa nini unyonywe/unyonye uume??? Kuna njia nyingi tu za kufurahishana sioni sababu ya kulishana najisi.
He..tema mate chini lol
Hivi ni kwa nini unyonywe/unyonye uume??? Kuna njia nyingi tu za kufurahishana sioni sababu ya kulishana najisi.