yapo safe sana, kwasababu ni maji ambayo hayana mchanganyiko wa aina yeyote ya element (yaani ni pure H2O) maji yaliyo mengi huwa yana mchanganyiko na element nyengne, ndo mana wakati wa experiment ukitumia maji ya kawaida mara nying unapata wrong data.
distilleda water mfano wake ni waji ya mvua, nilivokua shule nshakunywa sana za lebolatory mzima mpaka leo
yapo safe sana, kwasababu ni maji ambayo hayana mchanganyiko wa aina yeyote ya element (yaani ni pure H2O) maji yaliyo mengi huwa yana mchanganyiko na element nyengne, ndo mana wakati wa experiment ukitumia maji ya kawaida mara nying unapata wrong data.
distilleda water mfano wake ni waji ya mvua, nilivokua shule nshakunywa sana za lebolatory mzima mpaka leo
Nadhani maji ya mvua sio lazima yawe masafi kama distilled water. Aghalabu huyeyusha/kubeba vitu hewani mvua inapoanguka (vumbi, nk).
yapo safe sana, kwasababu ni maji ambayo hayana mchanganyiko wa aina yeyote ya element (yaani ni pure H2O) maji yaliyo mengi huwa yana mchanganyiko na element nyengne, ndo mana wakati wa experiment ukitumia maji ya kawaida mara nying unapata wrong data.
distilleda water mfano wake ni waji ya mvua, nilivokua shule nshakunywa sana za lebolatory mzima mpaka leo
Maji ya mvua sio distilled water coz sometime inaweza ikanyesha mvua ambayo imecontain acid(acidic rain).
Nadhani maji ya mvua sio lazima yawe masafi kama distilled water. Aghalabu huyeyusha/kubeba vitu hewani mvua inapoanguka (vumbi, nk).
nimekusoma kuhusu usalama,je katika kufanya detox,inawezekana au ni mboyoyo tu za watu?
Vumbi ni kitu cha kuchuja tu, tofaut na combination ya elements..
Rejea chemia yako vizuri. Maji distilled hayawezi tena kuwa na vitu vya kuchuja tu ndani yake kama vumbi.
Habari,
kuna wenzangu flani wanadai kwa kunywa distilled water for a day bila kula kitu chochote,unafanya detoxification katika mwili,na kwa ujuzi wangu mdogo najua kwamba distilled water haina nutrients zozote.je ni salama kufanya treatment hii,kuna uhalali wowote wa hii kitu?kwa wale mnaofahamu.
na kuna njia nyingine nimesikia(ni tetesi) ya kufanya detox,nimeisikia,eti unaweka miguu kwenye maji na inanyonya all poisons from your body,je ni chemicals gani wanatumia kwenye hayo maji?na je ni safe au ni ujanja ujanja tu?
Habari,
kuna wenzangu flani wanadai kwa kunywa distilled water for a day bila kula kitu chochote,unafanya detoxification katika mwili,na kwa ujuzi wangu mdogo najua kwamba distilled water haina nutrients zozote.je ni salama kufanya treatment hii,kuna uhalali wowote wa hii kitu?kwa wale mnaofahamu.
na kuna njia nyingine nimesikia(ni tetesi) ya kufanya detox,nimeisikia,eti unaweka miguu kwenye maji na inanyonya all poisons from your body,je ni chemicals gani wanatumia kwenye hayo maji?na je ni safe au ni ujanja ujanja tu?